Haggy
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Uongo ni uuaji na ni dhambi. Umejitahidi kuuaminisha umma wa wana Lupa kwa kuelezea ubaya wa mbunge wao kwa uongo mkubwa. Mwogope Mungu.
1. Mtu uliyemwita Masingija muuaji sio rafiki wa mbunge na saa hizi yuko rumande
2. Watu waliochomwa moto...
Mmmh yangu macho na masikio. Ushauri wa bure, kamalize degree kwanza kule UDOM walikokufukuza. Ubunge ni kazi ngumu, changia na wananchi unaotaka kuwaongoza hawajui kazi za mbunge. Maendeleo ya Chunya yataletwa na wananchi wenyewe. Njoo na sera na mikakati mipya ya kutuendeleza wana Chunya sio...
Mulugo ni janga la kitaifa. Tatizo sio lugha hata aliyo present mmmh ni madudu. Halafu inaonyesha ni mbishi, hakutaka kuwatumia wataalam wa wizarani ili wamwandikie cha ku present, matokeo yake ni madudu aliyosoma ughaibuni. Pole sana naibu waziri,aibu hii itakupunguzia maringo unayosema kule...
Ndugu zake wampeleke Jangwani grounds kuanzia tarehe 23 Sept mpka 30 Sept 2012 kutakuwa na maombezi ya wagonjwa. Pia wakiweza waende kanisa la ufufuo na uzima wampeleke huko au wakawaeleze wachungaji watawasaidia.
Du ni majonzi makubwa. Badala ya kumwamini Mungu wanaamini wanasiasa. Furushi la pesa hilo, je kanisa wanaweza kusimamia haki????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mmmh sijui kama hizi habari ni za ukweli. Wana JF, ninaomba muwe makini sana na taarifa zinazoletwa humu, zingine hazina ukweli ila zinaendeleza kuchochea moto na kuleta chuki.
Du!!!!!! Kulalamika tu, tutafika kweli? Mapori yalikuwepo hamkuendeleza, wameendeleza oh mara yameandikwa Joshua sijui Ann, mlitaka aandike nini? Na hao waumini si watafute mapori yao nao waandike majina ya watoto wao. Kwa mwendo wa malalamiko nchi ya maziwa na asali itakuwa si rahisi kufika...
Kwetu mbali nyumbani mbali tukumbukane kwa barua. Yanyukwe. Nyimbo za disko la usiku. Maisha yale yalikuwa safi sana hakuna cha nani wala nani wote sawa.
Kama kweli wewe ni mbunge, basi ni janga la kitaifa. Yaani umeacha kufuatilia mambo ya jimbo lako, unaleta uzushi, inasikitisha sana. Kama ulihongwa chakula inaonyesha wewe ni dhaifu sana, unahongwa chakula na mwanamke. Hicho ndo wapiga kura wako walikutuma kuwawakilisha. Hoja zako ni very weak...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.