Recent content by Mpaligogo

  1. M

    Kweli Mungu hujibu maombi, CCM chaliii

    Uwingi wa watu katika mikutano ya kampeni sio tu kukubalika kwa mgombea watu wanacho taka ni kusikiliza sera ili wawe na maamuzi ya hiari yao kuwa tarehe 25/10/2015 fungukeni jamani wanajamii wenzangu tunasema sana kwa hisia za kichama badala kitaifa mtu hata kama una hisia za chama chako bora...
  2. M

    Zitto na ACT ndio wapinzani wa kweli waliobakia, tunawategemea msituangushe, UKAWA wamenunuliwa

    Wanajamii wenzangu myasemayo ni kweli kwamba unapotaka mabadiliko kitaifa unatakiwa kuonyesha mikakati yako kitaifa na wala si kichama kwani lengo ni kuja kuwatumikia/kufanya mabadiliko yenye tija kwa taifa angalao ni kweli mtiririko wa mengi waliyoyazungumza ikiwa ni kweli wakapata ridhaa...
  3. M

    Lowassa Afunika Iringa

    Wanajamii wenzangu tuamke tusukumwe na hoja za wagombea sio idadi ya watu kumbukeni kwenye majukwa ya kampeni wanao kuwa hapo ni watu kutoka itikadi tofauti tofauti kwa ajili ya kusikiliza hoja za wagombea.maamuzi sahihi ni tarehe 25/10/2015.tuamke
  4. M

    Humphrey Polepole live Channel Ten: Urais katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ushauri wa bure tanzania ni ya watanzania wote kwa wakati huu ni vizuri tuzungumze juu ya tanzania yetu na wala sio chama gani kiwe vipi? Tutaijenga tanzania yenye amani mungu tusaidie
  5. M

    Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Sina tatizo na hisia zetu kivyama.hofu yangu ni juu ya nchi yetu kwa ujumla! Kwani ukawa unazo hali za sintofahamu ndani yake.waondoe tofauti zao ili wakishika nchi kusiwe na tatizo la madaraka visasi ili sisi wananchi waka waida tusije tukadhurika!
  6. M

    Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Salamu wanajamvi wenzangu tukicha.gia yote haya na kuonyesha hisia zetu.swali langu kwa wenzangu hivi kama mheshimiwa lowasa hakwenda ukawa leo topic ingekuwa ni ipi mbona sasa tumeacha hata kutumia akili zetu za kawaida kutambua mambo na kufanya ulinganifu angalau unapimia katika uelewa wetu na...
  7. M

    Kilichojiri uchukuaji wa fomu ya mgombea Urais kupitia UKAWA-Lowassa

    Tushukuru wana habari waliopata ruhusa na kuendelea kutu habarisha kwani vitu karibia vyote tunavyoviona leo vilikuwepo ila tulikuwa hatuhabarishi.hakuna jipya sasa wenyewe tufanye maamuzi magumu 25/10/2015 kupata kile tunacho kitaka.kwa sasa ushabiki ukipungua tutaweza kwani hata waswahili...
  8. M

    Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

    Aaaaaaaaaaaaaa! Wapi?wewe
  9. M

    Harusi ya Yvona Kamuntu na Raymond Nyamwihula - Citizen tv

    Hongera sana! Iv & Ray inanishangaza swala la maamuzi halali ya wawili wachangiaji mmefanya kamani mada ya kujadili
  10. M

    Winnie Mandela na Graca Machel, watufundhisha mengi kuhusu ukewenza...balaa!

    ninacho jua ukiwa si mchovu hasa kwa kiwango walichofikia kimaisha hawawezi kuwa na chokochoko.yeyote.pia ni kujaliwa huko kwa hekima:noidea:
  11. M

    PICHA: Yaliyojiri katika mkutano wa CHADEMA Mbeya - Aprili 24, 2013

    Mawazo ya kila mtu yanapaswa kuheshimiwa na hata kusikilizwa yakiwa mazuri sina shaka kuyafuata ni budi.wakereketwa wa kila pande hatuoni sasa ni wakati wa kutoa elimu kwa wananchi wetu wenye uelewa mdogo ili watu wote waweze kukamilisha vigezo na mashariti kizingatiwa ili tuweze kuchagua...
  12. M

    Sitaki tena msichana bikra!!

    acha wenge mambo yote ni wewe tu. hakuna cha baiskel wala kwenda msituni. swala ni wewe kuweka mawazo pale katika swala lenyewe
  13. M

    Ajali mbaya ya tank la mafuta muda huu mlimani Sekenke wilaya Iramba mkoa wa Singida

    Kweli ndg mwanakidagu mawazo yako ni ya msingi sana kwa ajili ya maisha ya watu ni vizuri kutafuta mbadala salama wa tatizo kama hilo.achana na mawazo ya wengine kama mchaniaji aliepita kwani maneno yake yananikumbusha methali isemayo.JIWE LILILOKO BAHARINI HALIJUI KIU YA MTENDE ULIOKO JANGWANI...
  14. M

    Ajali mbaya ya tank la mafuta muda huu mlimani Sekenke wilaya Iramba mkoa wa Singida

    Kweli ndg mwanakidagu mawazo yako ni ya msingi sana kwa ajili ya maisha ya watu ni vizuri kutafuta mbadala salama wa tatizo kama hilo.achana na mawazo ya wengine kama mchaniaji aliepita kwani maneno yake yananikumbusha methali isemayo.JIWE LILILOKO BAHARINI HALIJUI KIU YA MTENDE ULIOKO JANGWANI...
  15. M

    subaru ina uzwa

    Ushauri wako nitauzingatia ili nipate usaidizi wa haraka
Back
Top Bottom