Kweli Mungu hujibu maombi, CCM chaliii

Kweli Mungu hujibu maombi, CCM chaliii

Uwingi wa watu katika mikutano ya kampeni sio tu kukubalika kwa mgombea watu wanacho taka ni kusikiliza sera ili wawe na maamuzi ya hiari yao kuwa tarehe 25/10/2015 fungukeni jamani wanajamii wenzangu tunasema sana kwa hisia za kichama badala kitaifa mtu hata kama una hisia za chama chako bora usikilize hoja na kufanya ulinganifu ili usije ukajuta na maamuzi yako kwa kufuata mkumbo tu!
 
Pombe hawez kuwa rais wa Tz hata cku Moja na Mwenyewe Analijua hilo ni ww tu usiye jielewa hilo coz ww ni kipofu

Yaani mungu amewapa akili bado mnashindwa kutumia akili kidogo tu kusoma alama za nyakati?? Magufuli ni Rais ajaye.... Hamna mjadala
 
nilijua matokeo yametoka....kumbe uko ndotoni
 
Uwingi wa watu katika mikutano ya kampeni sio tu kukubalika kwa mgombea watu wanacho taka ni kusikiliza sera ili wawe na maamuzi ya hiari yao kuwa tarehe 25/10/2015 fungukeni jamani wanajamii wenzangu tunasema sana kwa hisia za kichama badala kitaifa mtu hata kama una hisia za chama chako bora usikilize hoja na kufanya ulinganifu ili usije ukajuta na maamuzi yako kwa kufuata mkumbo tu!

Hakuna cha sera, sera ni mabadiliko tu.
 
Fisadi hawezi kuongoza hii nchi.Dr.Slaa alishatuambia huyu jamaa alivyo
 
Uwingi wa watu katika mikutano ya kampeni sio tu kukubalika kwa mgombea watu wanacho taka ni kusikiliza sera ili wawe na maamuzi ya hiari yao kuwa tarehe 25/10/2015 fungukeni jamani wanajamii wenzangu tunasema sana kwa hisia za kichama badala kitaifa mtu hata kama una hisia za chama chako bora usikilize hoja na kufanya ulinganifu ili usije ukajuta na maamuzi yako kwa kufuata mkumbo tu!

Kwenda zako huko na mambo ya sera kila siku sera tumechoka kwaani mwaka 2010 hamkuwa na sera na je mmezitekeleza kwa kiasi gani?
 
Magamba yanaruka na kukanyaganaa
 
Mungu ataonesha utukufu wake, hakuna ashindwalo.
Nina hakika atajibu sala na dua zangu....Amin!
 
Kachanganyikiwa huyu. Gongo na viroba vimemlewesha
Wewe gongo na viroba vimeruhusiwa na serikali ya CCM mchana kutwa vijana wanakunywa kwa wazee wameharibika, Yaani kwenye maduka ya vyakula vinazwa viroba, stendi za magari viroba, kila kona viroba. Shame on you CCM. Ninasikitika kule vijijini nguvu kazi hakuna kabisa, ni walevi kupindukia. Hii ni strategy yenu kutufanya malofa na wapumbavu. Bora ukae kimya usitaje majanga ya viroba. Sasa mwaka huu mtakaa chini.
 

Attachments

  • 1441040185317.jpg
    1441040185317.jpg
    45.8 KB · Views: 195
Back
Top Bottom