Recent content by Mpalakugenda

  1. M

    Kuna ulazima gani wa kumpa mwanamke pesa baada ya tendo

    Hawa tunalipa kodi, luku, tv subscription n.k
  2. M

    Mikoa ya Tanzania kwa Ukubwa wa Eneo.

    Ndiyo ramani mpya mmeshachora?
  3. M

    Unamkumbuka Dk. Leakey Abdallah?

    Pia anasanaa kubwa sana ya uwasilishaji. Huchoki kumsikiliza.
  4. M

    Yuko wapi Johnthebaptist?

    Kuna lolote? Ulipita kule kwenye nyoka wakubwa na wale mamba?
  5. M

    Peter Msigwa kurudi CHADEMA Machi 23, 2025?

    Ila aliweza kwenda ccm alipokuwa hakikubali chama wala uongozi wake. Shituka mkuu.
  6. M

    PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

    Thubutu yake, atapelekewa bill akiwa balozi arudishe fedha.
  7. M

    Uchambuzi: Kisa Cha Simba kuwa kimya juu la sakata la Yanga vs Bodi ya Ligi

    😅😅😅😅😅😅 uto ni watu wawili tu wanatambulika NECTA na walipewa vyeti.
  8. M

    Simba inaendeshwa kwa akili kubwa

    Leteni timu uwanjani tarehe ikipangwa ili mtoe hiko kipigo. 😁😁
  9. M

    Bodi ya Ligi Kuu: Tukishindwa kutatua hili tutaihusisha Serikali

    Huyu jamaa anauhsiano na Bernad Membe. ???
  10. M

    Haji Manara ni nani Tanzania hii na ndani ya Yanga SC hadi anaapia kabisa kuwa Yanga SC hata iweje haitocheza tena Mechi na Simba SC?

    Haji ni funza tu inayotumika katika ndoano, kwa bahati mbaya wanatege kwenye mamba 😂😂😂
  11. M

    Jeshi la Polisi latolea ufafanuzi tahadhari ya usalama iliyotolewa maeneo ya Pwani, Kisiju, wasema nchi ipo salama

    Mkuu unaelimu gani? Samahani lakini sina maana ya kutweza chochote kile. Za kuambiwa changanya na zako. 😁😁
Back
Top Bottom