Dah samakini nimepamis sna moro town ila kuna mahali panaitwa black and white pana watu class flan hivi niliwah kutana na mkuu wa mkoa meza moja hapo na akanipa bonge la dili.. pombe ziheshimiwe kwa connections
Poleni sana wakuu ila mmekaza sana msimu huu msipouza wachezaji na mkiongeza upana wa kikosi nxt season itakua better..kwa sasa nawaombea mmpige tot ili mpate kombe kufuta jasho
aaah mbae napasikia tu mie pia nmehamia huku kikazi mwez wa pili ukiwa free wew nichek tu mkuu kama ni mtumiaji wa alcohol utaenjoy zaidi..kwa sasa nipo gr7 maeneo ya huku huku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.