Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Safi
Eid Mubarak ,mualiko tayari View attachment 1118685
Maliza kwanza Dozi mkuuWakuu habari!? juzi bana jtatu nliamka najiskia hovyo nikaenda pima nikakuta nna typhoid,sasa wakuu nikapewa dozi ya siku 10,nikaanza juzi kuitumia mpaka jana usiku,sasa leo hii tokea asubh bahati mbaya nlikua job na skubeba dawa so sjatumia dawa tokea asubh!!sasa jaman nimekaa sehem nshakula nyama koo linataka bia tu je nikinywa bia ntadhurika!?? naombeni mnipe ushauri maana hapa nataka nipige vyombo then kesho niendelee na dozi yangu .
Wakuu habari!? juzi bana jtatu nliamka najiskia hovyo nikaenda pima nikakuta nna typhoid,sasa wakuu nikapewa dozi ya siku 10,nikaanza juzi kuitumia mpaka jana usiku,sasa leo hii tokea asubh bahati mbaya nlikua job na skubeba dawa so sjatumia dawa tokea asubh!!sasa jaman nimekaa sehem nshakula nyama koo linataka bia tu je nikinywa bia ntadhurika!?? naombeni mnipe ushauri maana hapa nataka nipige vyombo then kesho niendelee na dozi yangu .
Mean while nnapush hii kitu ukiikuta popote support yako inahitajika inaitwa Mac Maroon whisky try it uje unipe majibu hapaView attachment 1118831
Hahahaha, kiredio kuitaHapo nimeona na kiredio sijui na chenyewe ni kileo??
sawa mkuu hata hivyo kuna washkaji washanishauri nikaushe ndo nipo nao mdogo mdogo na maji yangu kubwa na bitter lemon.Kausha kwanza typhoid sio mchezo mchezo
sawa asante kwa ushauri mkuuMaliza kwanza Dozi mkuu
safi kabisa ikifika chuga lazma ninunue nikuunge mkonoMean while nnapush hii kitu ukiikuta popote support yako inahitajika inaitwa Mac Maroon whisky try it uje unipe majibu hapaView attachment 1118831
safi sana vitu vinapendezesha meza, hata mwilini piaEid Mubarak ,mualiko tayari View attachment 1118685
Alcohol yake ni kiasi ganiMean while nnapush hii kitu ukiikuta popote support yako inahitajika inaitwa Mac Maroon whisky try it uje unipe majibu hapaView attachment 1118831