Habari wakuu...??
Kama kichwa kinavyosomeka ningependa kupata msaada wa kujuzwa kuhusu Mambo yafuatayo:-
1. Je Kuna kozi za postgraduate degree na Kama jibu ni yes zipi sifa za kujiunga nazo na minimum muda wa masomo ni miaka mingapi?
2. Upi utofauti wa hiyo postgraduate degree na...
Hivi ile kanuni ya ukitenguliwa uanachama automatically na nyazifa zako zimetenguliwa katika chama huwa hazifanyi kazi kwa viongozi WA serikali za mtaa????
Sasa kama chama hakishiriki kishajitoa na hatuna mfumo WA mgombea binafsi, huko kusema kuwa wagombea wanaendelea kuwepo ni kunauni ipi...
Habari wanajamvi.
Najaribu kukumbuka tuu kipindi nipo shule hadi Leo hii pale naposikia kuwa upandaji WA miti kwa wingi unachochea zaidi wingi wa unyeshaji wa mvua.
Sina shaka juu ya hilo lakini swali linalonitatiza mpaka sasa no kwamba kwanini mikoan mvua ni chache zaidi kuliko Dar,mfano WA...
Habari wanajamvi.
Kutoka na uchovu washughuli nyingi za JUMA naomba nichukue fursa hii kuwapa pole na majukumu na hongera pia katika kuweza kuyatimiza kwa usahihi.
Sina mengi Leo yakuzungumza,Ningependa tumtizame Mh Katika mtazamo wa utendaji wa majukumu na kutimiza wajibu wake naamini kabisa...
Kama heading ya uzi unavyojieleza hapo juu.
Mimi ni miongoni mwa wahanga wachache wa hiki tuliotuma maombia direct Nacte baada ya kutokea matatizo katika a/c za vyuo tulivyoomba.
Ningependa kufahamu majibu wanatejesha lini na yanapatikanaje kwa urahisi maana siku nazo zinasonga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.