mourisous
JF-Expert Member
- Jan 19, 2016
- 443
- 267
Habari wanajamvi.
Najaribu kukumbuka tuu kipindi nipo shule hadi Leo hii pale naposikia kuwa upandaji WA miti kwa wingi unachochea zaidi wingi wa unyeshaji wa mvua.
Sina shaka juu ya hilo lakini swali linalonitatiza mpaka sasa no kwamba kwanini mikoan mvua ni chache zaidi kuliko Dar,mfano WA mikoa hiyo ni kama vile, Mtwara,singida, Morogoro na mengineyo michache pamoja na uwepo Mkubwa wa miti katika maeneo hayo??
Najaribu kukumbuka tuu kipindi nipo shule hadi Leo hii pale naposikia kuwa upandaji WA miti kwa wingi unachochea zaidi wingi wa unyeshaji wa mvua.
Sina shaka juu ya hilo lakini swali linalonitatiza mpaka sasa no kwamba kwanini mikoan mvua ni chache zaidi kuliko Dar,mfano WA mikoa hiyo ni kama vile, Mtwara,singida, Morogoro na mengineyo michache pamoja na uwepo Mkubwa wa miti katika maeneo hayo??