Muda wa kulialia tumeibiwa ushakwisha sasa ni mkakati maalum kila kijiji nchi kua Na ofisi ya ukawa alafu kila mwezi at least Mara 1 anakuja kiongoz mkubwa toka ukawa kuwa brash masumu ya nzi kijani vichwani mwao.. Peeeeepoooozzz
Mtanzania atakae lia lia maisha magumu ooh kazi hakuna Hii miaka ijayo ntamuona ------ tena CHOKO lisilo jitambua CCM hawawapendi nyinyi hatamjipendekeze vip mbwa hawa
Acheni ujinga watanzania ccm ni wale wale oooh haya mi nawakumbusha tu ili MTU ukiminywa hospitali, polisi, kwenye biashara utulie tusissikie serikali..hakuna lawama
Kitendo cha kumjadili huyo Mungu tayari ni effect za uwepo wake. Kama hamna why mijadala kumuhusu kila siku
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Hat bila chadema wewe kama wewe hii hali unaridhika nayo? Huenda uridhika ila wapo wanaotesaka kina mama na wnafunzi kwaajili ya CCM ewe Mtanzania zinduka where are we going?
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.