Access Bank imekuja kutuumiza

Access Bank imekuja kutuumiza

Kuna taasisi inaitwa tujijenge hao jamaa ni mbwa kabisa ukichelewa siku.moja riba ni 10,000 kwa siku
Na ukienda na pesa pungufu wanakufungia ofisini hadi ukamilishe kama hujaenda kabisa ndio wana charge teni

Tujijenge ilianzishwa na wafanyakazi wa Finca baada ya kuwaibia sana,,,Pesa zenyewe wanazokopesha wameiba Finca halafu wanawasumbua wateja wake hivyo ?
 
Riba haramu

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Siyo siri hawa jamaa wananufaika kwa minada na vitu wanavyokamataa kwa wadaiwa. Vingine wanachukua wenyewe vingine wanaviuza. Jirani yangu alikuwa na deni la laki 3 walibeba meza ya laki 6, friji la 250,000, TV na king'amuzi. Ni kama vile wanaombea watu washindwe kulipa ili wanufaike kwa kuwafilisi.
 
Back
Top Bottom