Kwa hali tuliyonayo bado tunahitaji sana mitumba itutoe la sivyo tukubali kujifunika mashuka ya mmasai na vitenge manaake sidhani kama tina kiwanda chochoye cha matisheti na vimodo
Huu ushauri ni mzuri sana kozi ukihama mazingira kuna posibilite kubwa ya kusahau yaliyotokea, au kama kuhama ni ishu akaushe tu kwani haonagi siri za familia kale ka mcheza ka eatv kana mafunzo ndani yake
Take iz man ata vituo vya watoto yatima wanalea watoto si wao sembuse wewe, io ni ishu ndogo sana.
Ila ubovu umeufuga mwenyewe, mtu una malengo naye afu unamruhusu achati na wanaume wengine kizembe ivo afu unasema ulikua unapotezea, huo uzungu ndo unawaponza, mi japokua nna smatphone lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.