Salama ya ndoa ni mke amuheshimu mume

Salama ya ndoa ni mke amuheshimu mume

Salama ya ndoa ni kufikishana juu ya mlima Kilimanjaro, kama mmoja asipofika ukafika pekeyako ni majaribu makubwa.

Kila mtu atimize wajibu wake, tuache mambo ya kutunzana na kutii au kuheshimu. Unaniheshimu au kunitii lakini uroda wangu unaliwa kwa siri, siku nikijua nakutwanga talaka na utiifu wako
 
Nadhani Mume anapaswa kumpenda mkewe, na kisha kumtunza na kumsikiliza pamoja na kumjali.
Mke anapaswa kumtii Mume wake, pamoja na kuhakikisha anampea tendo la ndoa.
 
Mke mtunze tu atakuwa submissive tu. Shida ni pale mnapogawana majukumu pasu kwa pasu ndio wanawake wa kisasa wanakuwa na sauti. Na kama ndio kichwa maji basi ndio balsa zaidi
Mwanamke anayetunzwa 100% ni yule aliye tayari kukaa nyumbani kulea watoto, kama wote tunatoka asubuhi kutafuta fedha then sababu gani inafanya yeye atunzwe na hali wote tunatafuta?? Safari za kikazi anaenda na mume huna ubavu wa kumzuia na hata ukimzuia hawezi kutii kwasababu kwake kazi anaona ni muhimu zaidi! Nimtunze kwa lipi???

Nafikiri suala sio kumtunza mke, swala ni ndoa ijengwe katika msingi mkuu wa upendo na uchamungu! Ikikosa msingi huu, mke hata umpe nn shida lazima itakuwwpo ktk hyo nyumba. Na hata mume pia anaweza kuwa chanzo cha matatizo ktk ndoa kama hana upendo na uchamungu.

Matatizo ya ndoa chanzo kikuu ni kuoana pasipokuwa na misingi mikuu ya upendo na uchamungu. Mtu unataka kuoa au kuolewa then unaweka kipaumbele ni hela au sura au muonekano wa umbo unategemea kuna ndoa hapo?? Obvious hapo itakuwa ni matamanio tu na yakiisha au yakitoshelezwa ndoa lazima itasumbua tu. Mke unaingia kwenye ndoa huku matarajio yako ni kutunzwa na sio kuwajibika ktk ndoa unategemea nn hapo??
 
Tatizo binadamu wagumuu hasaa hii jinsia ya kiumeee

Hawatak kuwatunza wake zaoo
Dah hii watoto wa kike mnaitumia kama nyundo ya utosiii. Ila no sweat wengi huwa wanatafuta justification ya kudanga tu maana si kweli kwamba mpenzi anaweza akawa hakuhudumii ila kutoridhika tu.
 
Tatizo binadamu wabishi sana...

Mbona fulani kafanya hivi na vile kwa nini na sisi tusifanye, utata huanzia hapo...

Cc: mahondaw
 
Ni wajibu wa kikatiba kwa mwanamke kumtii mumewe. Come rain come sun! Mwanamke kama haliwezi hili bora akae peke yake.

Only submissive wives lay foundation of happy and prosperous marriages. Wanandoa mki swap majukumu kunakua hakuna ndoa. Mark my words...
True talk fella. Na hapo ndipo uchawi ulipo and trust me mwanamke akiwa tamaa tamaa hawezi kuwa submissive hata siku moja!
 
Mwanamke anayetunzwa 100% ni yule aliye tayari kukaa nyumbani kulea watoto, kama wote tunatoka asubuhi kutafuta fedha then sababu gani inafanya yeye atunzwe na hali wote tunatafuta?? Safari za kikazi anaenda na huna ubavu wa kumzuia na hata ukimzuia hawezi kutii! Nimtunze kwa lipi???

Nafikiri suala sio kumtunza mke, swala ni ndoa ijengwe katika msingi mkuu wa upendo na uchamungu! Ikikosa msingi huu, mke hata umpe nn shida lazima itakuwwpo ktk hyo nyumba. Na hata mume pia anaweza kuwa chanzo cha matatizo ktk ndoa kama hana upendo na uchamungu.

Matatizo ya ndoa chanzo kikuu ni kuoana pasipokuwa na misingi mikuu ya upendo na uchamungu. Mtu unataka kuoa au kuolewa then unaweka kipaumbele ni hela au sura au muonekano wa umbo unategemea kuna ndoa hapo?? Obvious hapo itakuwa ni matamanio tu na yakiisha au yakitoshelezwa ndoa lazima itasumbua tu. Mke unaingia kwenye ndoa huku matarajio yako ni kutunzwa na sio kuwajibika ktk ndoa unategemea nn hapo??
Hili nilishindwa kulipanga kwa maelezo ila mkuu umegonga pentagon kabisa. Wanawake tunaotakiwa kuwahudumia 100% ni wale housewives other than that tutatoa basic needs tu za nyumbani maana wao pia wana kipato cha kufanya mambo yao binafsi and it does make a huge sense to me.

Kama unataka nikupe support ya mahitaji 100% basi acha kazi mbaya zaidi hakuna mwanamke atakaelikubali hili kirahisi, mtalumbana sana yani.

Cha mwisho kuwa submissive ni hulka ya mwanamke tu alielelewa katika misingi imara ya kinidhamu. Mwanamke msikivu toka kwao hata anapoelezwa jambo na mume huwa mnyenyekevu na sio mbishi wa kupaza sauti juu ya mumewe. Hatajali anafanya kazi gani ama ana mchango kiasi gani kwa familia kisha atumie hio kama kipimo cha aidha kumuheshimu mume au kutomuheshimu. Mwanamke wa hivi hujenga familia yenye amani na furaha tokana na busara zake.
 
Tatizo binadamu wagumuu hasaa hii jinsia ya kiumeee

Hawatak kuwatunza wake zaoo
Siyo hawataki
Mnataka mtunzwe zaidi ya uwezo wa mume,
Unakuta mumeo mponda kokoto unataka akupe mahitaji sawasawa na anayopewa mke wa Mengi,
Na unamtolea mfano kabisa,
Eti mbona mke wa mengi kazawadiwa Benz na mumewe siku ya birthday yake,
La muhimu msiwe mnaolewa na watu ambao hamuwezi vumilia hali zao za kiuchumi,subirini wazaliwe matajiri watakuja kuwaoa,
 
Hapo ni lazima kuheshimiana kwa wote, suala la matunzo ni haki yetu wanaume kuwatunza hata kama mwanamke anamshahara wake lakini matunzo na pesa za matumizi ni wajibu wa mwanaume Kumpa mkewe au mchumba wake .
Hivi hii kauli mlojiwekea ya haki sawa majukumu kwa wote mlikuwa mnamaanisha nini,
Maana ikiguswa mishahara yenu kutumika sawasawa na ya mume mnakataa,lkn ikifika mahali pa kugawana hela ya mume na Mali mnasema haki sawa majukumu kwa wote,
Mmegeuka kupe
 
Wanawake wa siku hizi niwa bishi jmefika hatua mpaka wanaume tunakosa sauti
Akiwa mbishi tafuta njia ingine usikubali kuuza utu na nafasi yako kuogopa mdomo wa mtu anaelala chini ww unalala juu yake
 
Ni wajibu wa kikatiba kwa mwanamke kumtii mumewe. Come rain come sun! Mwanamke kama haliwezi hili bora akae peke yake.

Only submissive wives lay foundation of happy and prosperous marriages. Wanandoa mki swap majukumu kunakua hakuna ndoa. Mark my words...
Very true mkuu,
Ndoa zote zinazodumu ni zile ambazo mwanamke hata iweje hakwepi kumuheshimu mumewe,tatizo wanawake wenye tabia mbaya na wanajaribu kuambukiza tabia hyo ya kushindwa kwa wenzao
 
Salama ya ndoa ni kuheshimiana
Siyo kuheshimiana,
Acheni kukwepa jukumu,
Mungu kaagiza,
Mume AMPENDE mke
Mke AMTII mume,
Maagizo ya Mungu ni ibada,
Mke kumuheshimu Mume ni IBADA na utii kwa Mungu
Mume kumpenda mke ni Ibada na utii kwa Mungu,
Hata usali vipi km haumtii mumeo ni uasi kwa Mungu,
Acheni kuiga kwa makahaba ambao wao kukosa utii ni ibada yao kwa shetani,msiwaige japo sasa pamekuwa hapana tofauti kati ya tabia za kahaba na za mke wa mtu,tena unaeza kuta kahaba ana nafuu
 
Back
Top Bottom