wingatereza
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,347
- 1,743
Salama ya ndoa ni kufikishana juu ya mlima Kilimanjaro, kama mmoja asipofika ukafika pekeyako ni majaribu makubwa.
Kila mtu atimize wajibu wake, tuache mambo ya kutunzana na kutii au kuheshimu. Unaniheshimu au kunitii lakini uroda wangu unaliwa kwa siri, siku nikijua nakutwanga talaka na utiifu wako
Kila mtu atimize wajibu wake, tuache mambo ya kutunzana na kutii au kuheshimu. Unaniheshimu au kunitii lakini uroda wangu unaliwa kwa siri, siku nikijua nakutwanga talaka na utiifu wako