Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
Eeh bora mtuheshimu tu ili mbarikiwe
hivi unafikir baraka zinakuja kwa kumheshimu mwanamke tu?
Hamchelewi kutuweka kwenye vibobo tunabaki tunatoa mate tu. Nyinyi viumbe mnatakiwa kuishi na nyinyi kwa machale kweli