Recent content by motenya

  1. M

    Katibu wa CHADEMA(W) apokea fedha kutoka CCM

    cheza nae hadi kieleweke
  2. M

    Ufoo Saro, kwanini uteseke na kuumia tu moyoni?

    fikira potofu hizo acheni usaniii yupo kikazi ufosaro.
  3. M

    Zitto, Mnyika wafichua upotoshaji bajeti ya Mkulo; Spika Makinda akiri, amtaka Mkulo arekebishe

    Inasikitisha sana kuona serikali inawahadaa wananchi kwa kutoa figure batili hii inaonyesha jinsi serikali hii isivyokuwa makini na maisha ya watz.
  4. M

    John Heche mwenyekiti mpya BAVICHA taifa

    Dogo tupamoja chapa kazi
  5. M

    Ziara ya KM wa CCM W. Mukama Kanda ya Ziwa: Matukio na Yatokanayo

    Huyu mukama anaonyesha usanii hana lolote la maana kwa watz na chama chake cha wezi na mafisadi waliokubuhu kama kweli yu serious aanze na mwenyekiti wake kwani naye ni fisadi na mfanya biashara
  6. M

    Waziri Selina Kombani (Katiba na Sheria) na Hatima ya Katiba Mpya

    Jamani hata mie nimemsikiliza kuanzia mwanzo alipoulizwa juu ya raisi kuteua tume na kuonesha wao kama serikali wanaona ni bora tume iteuliwe na RAIS kwa kuangalia tume za nchi nyingine kama Kenya,uganda,zambia na alionesha kulidhia wazo hilo pamoja na kwamba watz wengi tunaona hafai kwani...
  7. M

    !!chadema chama tawala nje ya ikulu!!

    Huo ndo ukweli anayepinga ni mwenye mtindio wa ubongo na hakuhitaji kuwa na elimu kubwa kubainisha ukweli na uongo wote ni mashuhuda wa hayo.
  8. M

    Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

    mzee wa hoja,unatakiwa kabla ya kutoa maoni yako jichunguze hayo unawaeleza watu wa aina gani mtaji wenu wa ccm kutumia umasikini na ufahamu mdogo wa watz umetotana hauna nafasi tene kwa tanzania ya leo.be carefully on ur coments.
  9. M

    SIRI ya CCM Kuudhoofisha upinzani kabla ya 2014

    Hakuna lolote hapo ccm ni ileile na wezi ni walewale kwa mwenye uwezo wa kufikiri huwezi kukubaliana na ujinga wa ccm wa kuwahaadaa watz, jamani sekretariet yote bado ni wezi wakuu wa mali za nchi hii kuweni makini na wala ushishangilie matukio tuangalie matokeo.
  10. M

    Mashairi ya CCM yamemponza Cheyo?

    Tuache ushabiki wa ccm kwa kwa masuala yanayolihusu taifa hili kwani TANZANIA itakuwepo hata bila ccm, hivyo zama za kutishana zimepitwa na wakati kwa wale wote walioshiriki kuaandaa mswada wenye mapungufu ya wazi ya kutaka kubeba ccm na serikali yake.
  11. M

    Mashairi ya CCM yamemponza Cheyo?

    Serikali ya kikwete kama ina dhamira ya dhati ya kupatikana kwa katiba mpya ni sharti izingatie mawazo ya watz na sio mawazo ya serikali yao ambayo haina mvuto kwa watz,serikali yake ielewe watz wa leo wanaelewa kinachoendelea ndani ya serikali yake.angalizo "endapo watafikiri ccm ndo yenye nchi...
  12. M

    Prof. Safari ajiunga CHADEMA; akabidhiwa kadi rasmi leo

    Huwa nashindwa kuwaelewa wote wanaotumia udini kujali masuala ya msingi yanayohusu maisha yetu ya kila siku,mtu mwenye hekima huwezi kuongelea dini kwa sababu tu kiongozi mmoja kashindwa kutetea hoja za msingi sasa nawe umekuwa zuzu kwa kushabikia udini.Tuangalie mstakabari wetu na sio udini,.
  13. M

    Zitto kuwa m/kiti wa CHADEMA taifa?

    hoja za wanafiki na wote wanaotumwa na ccm naomba tusijibu ili akose la kusema siku nyingine wadau.
  14. M

    Madiwani wa CHADEMA Arusha wasusa ziara ya makamu wa rais

    Kuzunguka nchini bila kutatua matatizo yanayowakabili watz ni kuendelea kutumia mali za umma vibaya
Back
Top Bottom