Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Madiwani wa chadema arusha,wamekataa kuhudhuria ziara ya makamu wa rais Arusha,hii ni katika kutilia mkazo madai ya kurudiwa kwa uchaguzi wa eya
Talk on your own hehalf bana...you coward!Drop of water in the sea. wasiende hata milele, na nadhani anayejua kuwa walisusia ni wewe tu, au huenda ukawa ndo wewe mwenyewe diwani uliyesusia. We do not care about you.
Talk on your own hehalf bana...you coward!
Since when did you stop caring about us:lol:??
You must be joking...CDM wakikohoa tu kuanzia RAHISI wenu, Mawaziri na watu wa dizaini yako wote mnabweka kama mbwa-koko!
We are sure that you do miss a nap in our presence!..Poleni!
swafi sana! Huyo M'kamu wa rais amekosa kz km Rais wake, sa ameamua kznguka nchi nzma kwa lengo gn hasa? Aende zke huko hna jpya!
Akizunguka Slaa na maandamano ya CDM safi ila viongozi ambao wamechaguliwa hata kama sikuwapa kura nongwa? watajuaje kero zetu na watatoaje majibu ya kama kero hizo zimefanyiwa kazi?
Kwanza anazuga tu, alikuwa Loiliondo huyo!
hapo kwenye red tuu, ndo panaonyesha we ni mtu wa daraja gani!!yani CDM kuanzia padri wao Slaa hadi wafuasi hovyo kabisa,hakuna umakini katika uandishi hadi utamkaji! sijui ulikuwa unamaanisha nini?Madiwani wa chadema arusha,wamekataa kuhudhuria ziara ya makamu wa rais Arusha,hii ni katika kutilia mkazo madai ya kurudiwa kwa uchaguzi wa eya
Madiwani wa chadema arusha,wamekataa kuhudhuria ziara ya makamu wa rais Arusha,hii ni katika kutilia mkazo madai ya kurudiwa kwa uchaguzi wa eya
Huyo jamaa hana huwezo wa kuwa Mk
Kazi inayo mfaa ni kuwa mgeni rasmi gradu za chekechea nk
so kwa sasa hakuna gradu, htafanya nini?