Recent content by Mosses Mashili

  1. M

    Picha: Mwigulu Nchemba aitesa CHADEMA Iramba, mikutano yao yadoda haijawahi tokea

    ushirombo naomba tuonane cku ukipata time nko pande za katente throu 0764984516
  2. M

    Mnyika, Mbowe na Lissu waitikisa Sengerema mda huu

    Duuuuuh hakika chadema kanda ya ziwa ya tosha, mbowe amesema ni marufuku kwa wanachadema kulalamika kuwa kura zmeibiwa kwan ushindi wa upinzani cku zote hupatikana kwa damu, mabomu or great fight, hvyo wanbuchosa wa kata ya lugata wameaswa kupambana kwa gharama yeyote katika chaguzi zijazo
  3. M

    Mnyika, Mbowe na Lissu waitikisa Sengerema mda huu

    Hapa Sengerema kuna watu wengi katika uwanja wa Mnadani. Nimeuliza kwa kwa watu nikaambiwa kamanda wa anga yupo na makamanda wake wakitoa elimu juu ya katiba mpya. Sasa hivi Mnyika ndio anaongea lakini simu yangu haina uwezo wa kuchukua picha nzuri ila ntapost kulingana na uwezo wa simu yangu.
  4. M

    Mbowe kulitikisa jiji la Mwanza kesho

    mbona mm nmeskia kesho mbowe atakuwa ushirombo kwa kahigi? Hebu tuwekane sawa maana sahv niko pande za nyehunge naelekea sengerema then ushirombo kumwait kamanda wa anga...
  5. M

    Lema na Mawazo kutikisa jimbo Busanda tarehe 18 July

    very sorry wanajamvi ni tarehe 18 august 2013 wakati huohuo makamanda wa jimbo wataanza kuwasha moto wa mabadiliko kwa cku kumi na nne kuanzia tarehe 03 august mpka tarehe 17, katika kata ya bukoli, butobela, bujula na kamena na taratibu za maandalizi yako tayari.. Kutakuwa na kamanda Vedastus...
  6. M

    Lema na Mawazo kutikisa jimbo Busanda tarehe 18 July

    samahani sana wana jf ni tarehe 18/08/2013
  7. M

    Lema na Mawazo kutikisa jimbo Busanda tarehe 18 July

    Katika pitapita yangu katika mitaa mbalimbali za katoro nimebahatika kukutana na Katibu wa jimbo la Busanda (CHADEMA) bw Veda pamoja na diwani wa kata hiyo bwana Gervas (aliyevuliwa uanachama) lengo likiwa ni kutaka kujua uhai wa CHADEMA, kwa taarifa nilizozipata ni kwamba CHADEMA bado iko moto...
  8. M

    Funguka Mbunge Wako Yukoje?

    Hongereni mlio na wabunge wa ukweeeeli... Vp huyu mnamjua bw Agustino masele manyanda-mbogwe-geita aiseeee huyu ni janga la kitaifa... Tuna omba sana nguvu ya umma izamie pande hzo maana jimbo liko waz kabsa...
  9. M

    Bus la Nyehunge lapata ajali

    Duuuuuh.... Pole xna majeruhi
  10. M

    Sherehe ya ushindi wa chadema kata ya kimandolu

    Makamanda karibun sana hapa kimandolu, tuko na diwani wetu Ngowi pamoja na mawakala wote waliosimamia uchaguzi kwa uaminifu wa hali ya juu, hapa stereo lodge saa 3:00alasiri (kijenge) more update to come....
  11. M

    Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

    Ushindi tulioupata ukilinganisha na jinsi nguvu kubwa ilivyotumika kuzrusha hzo kata magamban ni kigezo tosha cha kushangilia, pia kitendo cha kurudisha kata regardless ya kuwa tulifuza wasaliti na baadhi ya kuchukua fomu kupitia vyama vingene lakin wameambulia kura za aibu... Magamba walituma...
  12. M

    Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

    Put on kamanda Lema......
  13. M

    Wassira: CHADEMA kufa ni Ngumu

    yaani ndo uwezo wake wa kufikili umeishia na hakuna alternative nyingine... Duuuuuh kazi ipo
  14. M

    Wana JF Naombeni ushauri kwa hili.

    thankx alot mkuu kwa ushauri mzuri
Back
Top Bottom