Bus la Nyehunge lapata ajali

Bus la Nyehunge lapata ajali

Ushimen

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
43,995
Reaction score
110,391
Habari za uhakika kutoka kwa jamaa aliekuwepo kwenye bus la nyehunge lifanyalo safari za Kakola- Mwanza.
Nyehunge limegongana uso kwa uso na lori katika maeneo ya bank kama unaelekea ilogi. Inasemekana watu sita (6) wameumia vibaya na watatu katiyao hawajitambui kabisa.
 
Back
Top Bottom