Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

Lema kufanya siasa ni
ishara ya utawala bora wa Chama Cha Mapinduzi na uongozi bora wa Jakaya
Kikwete. Hivi mnajua kuwa kuna nchi ambazo wezi wa magari hawatakiwi
hata kupiga kura, achilia mbali kuwa wabunge?

Nchi ipi unaweza kumtuhumu mtu kuwa ni mwizi bila ushahidi na ukabaki salama kama si hii yetu ya maneno matupu.
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?
Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.

Ushindi tulioupata ukilinganisha na jinsi nguvu kubwa ilivyotumika kuzrusha hzo kata magamban ni kigezo tosha cha kushangilia, pia kitendo cha kurudisha kata regardless ya kuwa tulifuza wasaliti na baadhi ya kuchukua fomu kupitia vyama vingene lakin wameambulia kura za aibu... Magamba walituma majembe wao wote hapa arusha na walipiga kambi ya mwezi bt matokeo 4-0 je wee ucngeshangilia na kutamba kona zote mkuu? Kiongozi gan wa magamba hakufika arusha? Bomu wamepiga ili kuwatsha wananchi lakin haijabadili matokeo...... Wee acha chadema tupete......
 
Chadema hakuna mtu asiye msomi eeeeeee!.
mbowe.....kidato cha nne.
msigwa....kidato cha nne.
sugu.......std seven.
lema.......kidato cha pili au hawa siyo wanachadema?

Na ccccm ina wasomi kweli ''''' prof maji marefu na phd za heshima!
 
Jembe la a town linapiga kazi kweli, kwe2 karatu leo katika uwanja wa kilimatembo mbunge kipenzi cha wanakaratu mh Israel natse akiambatana na mbunge kijana vitu maalum cesilia paresso watawasha moto mkubwa sana magamba hamna chenu tena

Mkuu naamini hapa ulitaka kuandika viti maalum na si kama inavyosomeka. Tafadhali rekebisha mkuu ili ujumbe wako usiwe na mawaa.
 
Lema kufanya siasa ni ishara ya utawala bora wa Chama Cha Mapinduzi na uongozi bora wa Jakaya Kikwete. Hivi mnajua kuwa kuna nchi ambazo wezi wa magari hawatakiwi hata kupiga kura, achilia mbali kuwa wabunge?

Wanawake kama nyinyi ni aina ya akina agness masogange mnaosafirisha pipi ndani ya ma------ yenu
 
....

.....Chadema kama Oksijeni..................
 

Attachments

  • tanzania 2.jpg
    tanzania 2.jpg
    151.8 KB · Views: 336
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.

Acha umburula, ngome ni lazima ilindwe..ndiyo maana inaitwa ngome...huwezi ruhusu ngome itekwe..au ivamiwe..kitu kikishaitwa ngome ni lazima ilindwe kwa gharama yoyote ile.sasa wewe ulotaka wabweteke kama maccm yanavyobweteka? Acha mawazo mgando kijana.ndio maana kila siku nasema kama mtu huna kitu cha kuandika ni bora ukajinyamazia.
 
Jembe la a town linapiga kazi kweli, kwe2 karatu leo katika uwanja wa kilimatembo mbunge kipenzi cha wanakaratu mh Israel natse akiambatana na mbunge kijana vitu maalum cesilia paresso watawasha moto mkubwa sana magamba hamna chenu tena

Mkuu hiyo inaitwa twanga kote kote! Maccm yayakoma!
 
Wanawake kama nyinyi ni aina ya akina agness masogange mnaosafirisha pipi ndani ya ma------ yenu

Haha hahaha hahaha hahaha hahaha dah mkuu unanivunja mbavu eti wanasafisha pipi ndani ya makalii hahaha
 
Anaenda kutikisa na fimbo au na mikono make hoja hana kichwani mweupe hana chochote.

Nafurahi magamba mnavyochukulia mambo kirahisi rahisi..hiyo inasaidia sana chadema kuzidi kuwamaliza.safi sana endeleeni na mawazo yenu finyu.hapo ndio mwisho wa upeo wako wa kufikiri maskini pole...
 
nazani wanashangilia kwa sababu ccm mlitaka kuwanyanganya kata zao kwa kuwapiga mabomu,kwa mtutu wa bunduki..kununua shahada za kupigia kura..kuwanunua wazee wa kimasai..kuhairisha uchaguzi mara kadhaa..

Kwanini ,mliwaleta wote hao wakina mwigulu,nnape,wasira,kinana,yule mnafiki n.k,shangwe yetu tumewamwaga pamoja na kutumia mabomu,bunduki na mahela
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.
CDM tunashangilia kwa kuwa tumeonyesha kuwa sisi ni zaidi ya magambba kwani tumetetea kata 5 zetu na kuchukua 5 za magamba huoni raha hiyo wewe gamba?
 
Chama cha CHADEMA Leo kitafanya mkutano wa injili maeneo nzovwe mbeya mjini msikose waumini wote.

ona nalo hili linaleta udini wakati lenyewe nilikristu kabisa... noma bhana.
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.
Acha ukuda wewe,tumefukuza masalia,tumepigwa mabomu na risasi za moto ila pamoja na vitisho vya savimbi mwigulu zimerudi mikononi mwa makamanda...huo ni ushindi mkubwa dhidi ya madhalimu wa taifa hili masikini..
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.

Arusha ni yetu, kata ni zetu, kwanini CCM hawakubali? Mbona Majanga!!!
 
Back
Top Bottom