Recent content by Morning Glory1

  1. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Huu mwaka hauishi bendera zitapepea nusu mlingoti unless alikwenda na chakula chake na maji yake...
  2. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Ni bora kukaa kimya kuliko kutoa taarifa rasmi ya kutetea upuuzi
  3. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Umeua ili ukatamalaki??

    Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi...Mbwa watairamba na damu yale pia Zingatia neno MBWA!!00
  4. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Umeua ili ukatamalaki??

    1WAFAMLE 21:17-19 Neno la Bwana likamjia Eliya Mtishbi, kusema, Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki. Ukamwambie, ukisema, Bwana asema hivi, JE! UMEUA, ILI UKATAMALAKIi? Nawe...
  5. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Mwenyekiti wa Bodi anapinga vipi Mkutano wa Wanachama wakati hatokei upande wao?

    Basi Shalulile hata cheza ligi ya dani atacheza mechi za kimataifa tuu
  6. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Kama ni rahisi kutapeli mwambie hata babako akusanye udongo auze...au familia yenu haitaki hela?!...au kama unaona rahisi kuuza maji au mafuta jaza wewe maji au mafuta uuze uone kama kutapeli ni kazi rahisi
  7. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Watu wanapaki maV8 wanakwenda kuchukua udongo we hauogopi....wabongo tupunguze wivu kwa mafanikio ya wengine.Hema jipya alilolijenga mwamposa ni matilioni ya hela mwamposa hana njaa na hata sisi watoto wa arise and shine hatuna njaa...tukienda ibadani na misimbazi yetu tunajimaliza na kesho...
  8. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Ulishawai kusikia waliokua wanatoa sadaka zao kwa kiboko ya wachawi wamefilisika?!...ukitapeli kwa jina la mungu wewe tapeli utachuma laana na waliokua wanatoa sadaka zao kwa imani wataendelea kubalikiwa....Kila mtu atavuna alichopanda ndoman kiboko ya wachawi anabwabwaja tu mitandaoni kama...
  9. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Mkuu embu tuambie wewe unaabudu wapi ili tulinganishe hekima yako na upumbavu wetu??.....Mwamposa ndie Bulldozer toka ameanza kupigwa vita ndo mungu anazidi kumbariki.Mkesha husiosahaulika tanganyika packers ilitapika Mungu hadhiakiwi Huwezi kumshusha mtu ambae haukumpandisha wewe
  10. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Mbona haushangai mtume mwarabu?? unashangaa mtume mnyakyusa
  11. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Katika maisha hatuwezi kufanana na ufalme wa mungu husipoupokea kama zezeta au kama mtoto mdogo hauwezi kukuingia kamwe Shida ni kutaka kumuelewa mungu kwa kutumia degree zetu Kama unasali katika kanisa ambalo moyoni una amani basi hapo ndo mahali pako husirudi nyuma
  12. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Uzuri wa mungu hana upendeleo wewe ukitapeli watu kwa jina la mungu...wale wanaotoa fedha zao kwa imani wao wanazidi kubarikiwa na wewe unaepokea fedha unalaaniwa Kumtolea mungu iwe kwa nabii wa kweli au wa uongo hakujawai kua kwa hasara ndomana waamini hawajawai kupungukiwa wala kufilisika...
  13. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Ungekua umewai kufika kanisani kwake ungewaona kina mwamposa wengi tu aliowatengeza na wanafannya huduma pamoja nae..shida yako wewe unamjua mwamposa wa radioni na kwenye tv ndoman unahisi anafanya huduma peke yake Mimi mwenyewe nina ongea hapa ni mchungaji lakini hunifahamu kwasababu ufahamu...
  14. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Hela ya mchanga natoa mimi wewe inakuuma nini?!...hatusaidiani kutafuta hela kwahiyo tusipangiane matumizi wewe ukiona hela yako unaibiwa nenda kanunue safari larger uongeze kitambi kwasababu kwako ndo maendeleo na mafanikio Neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi lakini kwetu sisi...
  15. Morning Glory1

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Vp na wale wanavyofunga safari tena wanapanda ndege kwenda kumpiga jiwe shetani na wanalipa mamilioni
Back
Top Bottom