1WAFAMLE 21:17-19
Neno la Bwana likamjia Eliya Mtishbi, kusema,
Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki.
Ukamwambie, ukisema, Bwana asema hivi, JE! UMEUA, ILI UKATAMALAKIi? Nawe...