Umeua ili ukatamalaki??

Umeua ili ukatamalaki??

Morning Glory1

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2019
Posts
452
Reaction score
904
1WAFAMLE 21:17-19
Neno la Bwana likamjia Eliya Mtishbi, kusema,

Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki.

Ukamwambie, ukisema, Bwana asema hivi, JE! UMEUA, ILI UKATAMALAKIi? Nawe utamwambia, kusema, Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako, naam, damu yako.

Alie karibu na mfalme Ahabu atusaidie kumuuliza ameua ili ukatamalaki?!!!
 
Bible kiboko.
Auaye kwa upanga atauwawa kwa upanga.

Siku zake zinahesabika sana.
MENEMENE TEKERI NA PERESI.
 
Nyege za kufanya vurugu kuzuwia uchaguzi mlitoa wapi?..mlifikiri bunduki za polisi ni kwa ajili ya nani?
Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi...Mbwa watairamba na damu yale pia
Zingatia neno MBWA!!00
 
1WAFAMLE 21:17-19
Neno la Bwana likamjia Eliya Mtishbi, kusema,

Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki.

Ukamwambie, ukisema, Bwana asema hivi, JE! UMEUA, ILI UKATAMALAKIi? Nawe utamwambia, kusema, Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako, naam, damu yako.

Alie karibu na mfalme Ahabu atusaidie kumuuliza ameua ili ukatamalaki?!!!

Hili neno kuna siku Kanisa katoliki walilisoma mbele ya mtawala siku aliyohudhuria kanisani, nashindwa kukumbuka lilikuwa tukio gani kati ya msiba wa Pengo au ilikuwa ni nini?

Nachokumbuka tu ni kwamba baadhi yetu tulihamaki neno hili kusomwa mbele ya mtawala tukabaki tunajiuliza kama kweli lilikuwa neno la siku hiyo kwenye shajara yao?
 
Back
Top Bottom