Kwamba mungu amepiga OFU TAGETI?

Kwamba mungu amepiga OFU TAGETI?

Mwalimu wa set piece anahitajika sana kwa play maker wetu "israel" haiwezekani kila set piece anayowekewa na sirgod yeye anapaisha
 
kuna nini huku bongo mi ndo nimetokea S.A bado sijaelewa code zenu
Vipi wewe umebahatika kua na meno yote 32, maana wote wanaotoka South Africa dental formula zimesambaratika wana meno 15 maximum 😀 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom