Recent content by Morgan Fisherman

  1. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Jamii intelligence nako sikuhizi hakuna nyuzi mpya zamani kulikua nondo sana
  2. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Basi la Abood lagongana na IST wakati dereva 'aki-overtake', Watu wanne wafariki Dunia

    Inabidi hawa madereva wapumbavu ije sheria ya kunyongwa hadharani
  3. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Mahari yangu ni billioni 1, anaetaka aje

    Sura nzito kama blanketi bichi
  4. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Being a Sperm/Egg Donor or Surrogate Mother: Nini maoni yako, je tuna sheria zozote?

    Mbona uzi umepoa sana au sheria bado hazipo?
  5. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Uzi wa wanga
  6. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Miaka michache baadaye Sokwe wote watakuwa binadamu

    Miaka 500 michache sana inaweza chukua miaka kuanzia 500,000
  7. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Biashara ya lodge / guest house Tanzania

    Unadhibiti vipi wizi wa vitu kama mataulo
  8. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Sio lazima bamyogode ndio maana nimekwambia umekremu masters sio lazima uspecialize ulichosomea
  9. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Umekremu mkuu masters ni masters haijalishi umesoma kitu gani
  10. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Gentlemen gpa hiyo mkuu
  11. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Bado ila ipo open university
  12. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Kitendo hiki cha MOSSAD kuiba nyaraka zenye siri zote za nyuklia ndani ya Tehran kinawafanya Israel waendelee kuitwa 'wachawi' wa ujasusi duniani

    Hiyo inaitwa poteza boya lazima walikua na inside man iran masnitch kibao
  13. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ulimwengu unafuata hesabu zilizotoka akilini mwa Binadamu? Vita kali dhidi ya Atheists Ep3

    Akili ya binadamu ipo vizuri sana kwenye kunotice patterns na hiyo ndio ineachangia pakubwa kuwepo tulipo
  14. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania In the Year 2525: Wimbo wa 1969 Uliotabiri Hatari ya Teknolojia kwa Mwanadamu

    Binadamu amekuwepo duniani miaka zaidi ya milion 2 halafu aje apotee miaka 10,000 ijayo?
  15. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Mipaka ya maarifa ya binadamu: safari ya uelewa wa ulimwengu na yale yasiyoguswa

    Karne za mbeleni sana tutajua kila kitu
Back
Top Bottom