Recent content by Morgan Fisherman

  1. Morgan Fisherman

    Hizi ndizo sababu za kutopokea simu za baba yangu mzazi

    less is more, jitahidi uwe unatuma home hata 50k tu kwa mwezi consistently jimotivate
  2. Morgan Fisherman

    Wanawake wengi wananikataa, nifanyaje ?

    wanawake huwa wapo wengi mpaka pale unavotafta mke ndo msala unapoanzia
  3. Morgan Fisherman

    Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    rafiki anaeshirikiana na adui sio rafiki
  4. Morgan Fisherman

    Nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri, hamna dawa ambayo sijatumia

    Kama huvai nguo mbichi bas inabidi uanze kuvaa boxer pana kama suruali za pepe kale au punguza unene mapaja yasisuguane
  5. Morgan Fisherman

    Je,wajua kuhusu mimi?

    Kitu pekee tunachojua kuhusu wewe ni mirembe
  6. Morgan Fisherman

    Wale tuliowahi kucheza chandimu tukutane hapa tujuane

    Funga duka na gombania goli
  7. Morgan Fisherman

    NECTA kuwa na mfumo wa kuficha majina ya watahiniwa katika matokeo, ina faida gani?

    Aibu ile ya majina watu walikua wanajiua wakifeli, maana hadi wajomba wa katavi watajua
  8. Morgan Fisherman

    Mchanganuo wa biashara ya saluni (vifaa/matumizi/faida)

    Ni biashara nzuri ila vinyozi wasumbufu balaa
Back
Top Bottom