Recent content by Morgan Fisherman

  1. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Sio lazima bamyogode ndio maana nimekwambia umekremu masters sio lazima uspecialize ulichosomea
  2. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Umekremu mkuu masters ni masters haijalishi umesoma kitu gani
  3. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Gentlemen gpa hiyo mkuu
  4. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Bado ila ipo open university
  5. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Kitendo hiki cha MOSSAD kuiba nyaraka zenye siri zote za nyuklia ndani ya Tehran kinawafanya Israel waendelee kuitwa 'wachawi' wa ujasusi duniani

    Hiyo inaitwa poteza boya lazima walikua na inside man iran masnitch kibao
  6. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ulimwengu unafuata hesabu zilizotoka akilini mwa Binadamu? Vita kali dhidi ya Atheists Ep3

    Akili ya binadamu ipo vizuri sana kwenye kunotice patterns na hiyo ndio ineachangia pakubwa kuwepo tulipo
  7. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania In the Year 2525: Wimbo wa 1969 Uliotabiri Hatari ya Teknolojia kwa Mwanadamu

    Binadamu amekuwepo duniani miaka zaidi ya milion 2 halafu aje apotee miaka 10,000 ijayo?
  8. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Mipaka ya maarifa ya binadamu: safari ya uelewa wa ulimwengu na yale yasiyoguswa

    Karne za mbeleni sana tutajua kila kitu
  9. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Inawezekana kabisa
  10. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Kwa nchi changa kuwa stable inabidi kiongozi wa kwanza asikae madarakani muda mfupi sana au muda mrefu kupitiliza
  11. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Sisi Sio wa Kuishi, Kula na Kuzaa Tu Sisi Ni Watu, Wanyama Wenye Busara

    Ukisema wanyama wenye busara unakosea,binadamu ndio mnyama muharibifu kuliko wanyama wote ikiwemo mazingira na kupoteza viumbe wengine
  12. Morgan Fisherman

    JamiiForums Tanzania Guys, Naomba anaye jua kuhusu sexual transmutation a nisaidie.

    Fanya kazi acha ushirikina
Back
Top Bottom