Recent content by moonlight tz

  1. moonlight tz

    Ipi kazi ya aliyesoma Sociology?

    Social welfare officer, community development officer, youth development officer, human resources officer Bila kusahau Kazi zote zinazohusu jamii maswala ya watt yatima, mashirika ya ukimwi na mambo mengine!
  2. moonlight tz

    Video Queen wa Diamond “ JEJE” ni balaa..

    Dizain huyu wa jeje kaiga kucheza Pia kwa mbali Simbaaaaa kapita kwenye jorooo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. moonlight tz

    Video Queen wa Diamond “ JEJE” ni balaa..

    Nami nimeona hivyo hivyo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. moonlight tz

    Video Queen wa Diamond “ JEJE” ni balaa..

    Kanafanana na ebitoke Sent using Jamii Forums mobile app
  5. moonlight tz

    Unaweza kujifunza kitu kupitia mimi

    Umeandika vizur Sana, naamini Nami nitafikia malengo yangu siku moja
  6. moonlight tz

    Naomba ushauri wa fursa za biashara zinazopatikana Kahama

    One dei ntahamia kahama, ni dream yangu kuishi huko
  7. moonlight tz

    TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

    Aisee so sad! Kama haujawahi kufiwa Unaweza ona simple tu, omba yasikukute! Nilifiwa na mama yangu Aisee mpk leo ni Miaka 10 lakini haiwezi pita wiki sijalia kumkumbuka! Inauma Sana mungu ampe huyo mama Ujasiri tofauti na hapo Unaweza Ongea peke yako
  8. moonlight tz

    This is too much. Kila kitu Magufuli kafanya

    Tokea mzee machache Apumzike wamekosa weredi zaidi ya kujipendekeza tu na kusifia hata kwenye hamna
  9. moonlight tz

    Wachambuzi mahiri wa mziki njooni hapa

    Diamond anacheza na akili za baadhi ya watanzania ambao wanataka ngoma za kuchezeka hata kama hazina maneno ya maana! Cha msingi ichezeke! Kwangu mie nimeipenda sababu napenda kuenjoy mda mwingine
  10. moonlight tz

    Ali Kiba atangaza ujio wa ziara yake ya muziki ya ''Unforgettable"

    Namsikia eti yap, yee baba! Nimezima katv kangu nipo nje napika maana hata sielewiii naona anaongea kama mtoto wa pre form one
  11. moonlight tz

    Mbona katika Kikosi hiki cha dunia hawa akina Wema, Zari na Hamisa mnaosema ni Warembo sana hawapo?

    Uzuri Upo machoni mwa mtu! Nadhan hilo shindano lilikuwa kwa America Sana maana kuna wasichana warembo kule ufilipina, India na sehemu zingine
  12. moonlight tz

    Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

    BASATA nao mda mwingine sijui wanawaza nini? Inabidi Watafute aliyevujisha sio aliyecheza au kufanya ngono Maana Kila mtu duniani na starehe Yake
  13. moonlight tz

    MJADALA: Je, ni sahihi waimbaji wa nyimbo za dini kushiriki matamasha ya kidunia?

    Dady kasema injili popote Ndo Maana aliruhusu mpk kwenye kumbi za starehe! Ila yote kwa yote goodluck anahamasisha tu sio a real gospal singer
  14. moonlight tz

    Unanchukuliaje mdada unaemtongoza leo, kesho anakupa kila unachokitaka kutoka kwake!

    Nasisitiza hamna haja ya kuzungushana, mie na mume wangu nakumbuka alinitongoza tarehe 20/2 baada ya siku tatu nikampa mzigo tena tulikesha baada ya mwezi akaja kujitambulisha kwetu mambo ya mahari yakafuata na ndoa mpk sasa nipo nae
Back
Top Bottom