Hii mijitu inatia aibu na kinyaaNaangalia Taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya.Hv amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakua anakereka na hz sifa.
ITV ni NGOWanapalilia Vibarua vyao kwa Miaka 5 ijayo
😂😂😂😂
Na Brg Jene Mbungo ni NGO Pia???ITV ni NGO
Ni LGBTNa Brg Jene Mbungo ni NGO Pia???
Yeye ndio anapenda kusifiwa kijinga hivyo!!Naangalia Taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya.Hv amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakua anakereka na hz sifa.
Praise team unawalaumu bure tu. Huyo mhusika anapenda sifa kama mtoto wa mwishoNaangalia Taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya.Hv amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakua anakereka na hz sifa.
Itachukua muda mrefu watu kutambua kwamba wanatawaliwa kidikteta.Naangalia Taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya.Hv amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakua anakereka na hz sifa.
One man showNaangalia Taarifa ya habari ITV eti Rais Magufuli amenunua magari 42 ya Takukuru ngazi wilaya.Hv amenunua yeye au serikali ndo imenunua? Praise timu hii ni zaidi ya ushamba. Hata yeye atakua anakereka na hz sifa.
ila uchumi ukiharibika mnamtaja yeye bila kupepesa macho.
mwakinyo anasema tatizo la watz ni ujuaji.
mimi nasema na unafiki pia.
"Maskini washajua udhaifu wake ulipo"Wanapalilia Vibarua vyao kwa Miaka 5 ijayo
Kakojoe ukalale ila kumbuka nguvu anazotumia shemeji yako kukulisha ndio kiburi chako!!ila uchumi ukiharibika mnamtaja yeye bila kupepesa macho.
mwakinyo anasema tatizo la watz ni ujuaji.
mimi nasema na unafiki pia.
Tokea mzee machache Apumzike wamekosa weredi zaidi ya kujipendekeza tu na kusifia hata kwenye hamnaITV ni NGO
Huenda anarudisha Ile 1.5 Kiana!Hiii, katoa pesa yake mfukoni kanunua sio?