Kiukweli binafsi mimi ni mpenzi wa Simba, ila kusema ukweli ni kuwa mpira wa Tanzania bado sana.
But hamna anaepinga kwa sasa Simba ni club bora hapa Tanzania kwani mpira wao uwanjani wanaonana vzuri sana, pasi kama zote.
Ukikutana na mkude pale kati na kuna mtu mbaya anayeitwa Chama ukifika...
Ni vizuri Kiongozi wa nchi anapokuwa anakutana na wananchi wake kama hivi ili kujua changamoto na kuweza kupokea mawanzo...........hongera Dkt Magufuli tunajua nia yako ni njema tu.
Hivi hapa nchini Tanzania ili uwe chama cha Upinzani ni lazima upinge jitihada za Serikali?
Maana sielewi mbona wapinzani wa nchi hii kila kitu wao wanapinga tu ata kama ni cha manufaa kwa wananchi?
Nahisi tunahitaji elimu kuhusu hili vyenginevyo Upinzani utakua ndio chanzo cha kudumaza...
Naamini kabisa kura hizi mlizonipa zimekuwa ni jukumu langu la kuzitendea haki, nina deni kubwa kwenu jukumu langu ni kuwanyia kazi na kutimiza wajibu wangu kama nilivyoagizwa kupitia ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi
Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Tabora, John Utamwa amemwachia bila masharti mkazi wa kijiji cha Mahene Wilaya ya Nzega aliyekiri kumuua bila kukusudia mtu anayedaiwa kumbaka mkewe.
Kabla ya uamuzi huo upande wa Jamhuri ukiongozwa na wakili Tito Mwakalinga umedai Oktoba 12, 2016 mshitakiwa...
Mh kaandamwa kivipi na Serikali...mbona haieleweki na kwa nini aandamwe yeye wakati Serikali ya awamu ya tano kila siku inashajihisha kufanya biashara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.