Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Baadhi ya Viongozi wa dini wa karne Hii ni wa hovyo hamstahili kusimama mbele ya altare ya Mungu nyie ni wanafiki mlipata nafasi adhimu ya kuongea na rais mkaitumia vibaya nampongeza Yule mchungaji aliyeongelea dwmokrasia na wengine Kama walikuwepo waliotusemea wananchi ila Wale walioenda kusifu pale Kama uvccm mjue mmetuudhi Sana nyie ni wanafiki na hatutegemei Yale matamko yenu ya pasaka!!!