Maneno ya Mhe Rais John Pombe Magufuli

Maneno ya Mhe Rais John Pombe Magufuli

mooalex

Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
14
Reaction score
22
Naamini kabisa kura hizi mlizonipa zimekuwa ni jukumu langu la kuzitendea haki, nina deni kubwa kwenu jukumu langu ni kuwanyia kazi na kutimiza wajibu wangu kama nilivyoagizwa kupitia ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi
 
Naamini kabisa kura hizi mlizonipa zimekuwa ni jukumu langu la kuzitendea haki, nina deni kubwa kwenu jukumu langu ni kuwanyia kazi na kutimiza wajibu wangu kama nilivyoagizwa kupitia ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi

huyu bwana dish lake lishayumba siku mingi sana ni suala la muda tu ukisiliza maneno aliyo zungumza leo huwezi amini kama ni rais wa nchi
 
Back
Top Bottom