Kiswahili-B
Math-D
Eng-D
Chem-C
Hist-D
Bio-C
Civ-B
Geo-D
Phy-F
Div 3 point 23.
Jinsia KE
Boss msaada apo wa kozi nzuri kwa ufauku huo.hasa idara ya afya
Kuna kila dalili ka mkeka kangu ka November kamefutwa..yani wanaita mbele Mar warudi nyuma lkn kataasisi kangu hakaitwi hata.
mazaga one mzee baba ebu tupe update ya zilizobaki 28 November to December.
Kweli wa masikini hazai.alafu hii asali ninile ya wadudu wadogo naskia ni tamu.
Yani mimi nikiingia tu oral.zaga halitoki mapema.wadau wakiingia mwezi mmoja tu kitu mweku mweku.
Hata ile presha ishapungua saa izi naona kawaida tu.
So usishangae kuskia goma limefutwa.kawaoda sana hiyo
Mwingine atauliza "una uhakika ni mwanao kweli au umebambikiwa"
Tukubali kutokukubaliana.
Ila not selected zipo nyingi tu after oral.
So tuaminiane tu na tupingane pia
Wale wajomba hawanaga cv yako pale aisee.tulishawahi kuwa na debate na wadau flani kuhusu hii issue.
Ila nikaja ku prove mwenyewe hawanaga cv za msahiliwa pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.