Ni kozi Gani itamfaa huyu mdogo wangu?

lamalu

JF-Expert Member
Jan 6, 2014
611
766
Kwanza niwape pole wagonjwa waliopo humu,niwape pole mnaoguza na kuwapongeza wazima na pia polen kwa majukumu ya kila siku! Yote kwa Yote shukuran za pekee ni kwa Mungu(japo humu JF kuna wasioamini Mungu)

IPO hivi wakat namaliza shule miaka ya 2000 hivi nilikuwa na ndoto nyingi sana nikakomalia kusoma kitu ambacho hakikunisaidia sikuwa na mtu wa kunishauri nn nisomee,matokeo yake hadi nafikisha miaka 30+ sikuwa na mwelekeo wa maisha, nashukuru nilisimama na kujituma hatimae kiasi nimefanikiwa,sasa sipendi/sitaki huyu mdogo wangu apitie njia ngumu sana kama nilizopitia mimi,

Amemaliza form four mwaka jana na kupata division three, wakuu naomba msaada wenu ni kozi gani itamfaa, ni mtoto wa kiume,ananiuliza mara nyingi ni kozi ipi asomee nakosa jibu,yeye anataka sheria japo naona kama itamchelewesha sana.

Uwezo wa kumsomesha nashukuru Mungu ninao hivyo nawaomba sana mwenye wazo wa kozi gani anisaidie ili tumsaidie huyu dogo
Ahsanteni
 
Kwanza niwape pole wagonjwa waliopo humu,niwape pole mnaoguza na kuwapongeza wazima na pia polen kwa majukumu ya kila siku! Yote kwa Yote shukuran za pekee ni kwa Mungu(japo humu JF kuna wasioamini Mungu)
IPO hivi wakat namaliza shule miaka ya 2000 hivi nilikuwa na ndoto nyingi sana nikakomalia kusoma kitu ambacho
Uwezo wa kumsomesha nashukuru Mungu ninao hivyo nawaomba sana mwenye wazo wa kozi gani anisaidie ili tumsaidie huyu dogo
Ahsanteni
Yeye ndio msomaji, halafu wewe unataka kumpangia passion yake?

Kazi yako ni financial support tu, swala la asome nini ni passion yake.
 
Yeye ndio msomaji, halafu wewe unataka kumpangia passion yake?

Kazi yako ni financial support tu, swala la asome nini ni passion yake.
Asome course za afya, anaweza anzia Diploma, au course za ufundi mambo ya electronics, hapo atakua fundi simu, computer, ufundi wa Printers, nk. Hizi nyanja mafundi ni wachache sana..

Ila huko kwingine asilimia kubwa ni kupoteza muda kama connection yake ni zero
 
Yeye ndio msomaji, halafu wewe unataka kumpangia passion yake?

Kazi yako ni financial support tu, swala la asome nini ni passion yake.
Sina hakika kama nataka kumpangia nimeomba ushauri tu nilichokipenda nilikisomea na hakikunisaidia hayo mambo ya passion mkuu ni kwenu ninyi wenye uwezo na connection sie wengine sio wa hivyo,hata hivyo nashukuru kwa maoni yako,naendelea kupokea mengine
 
Asome course za afya, anaweza anzia Diploma, au course za ufundi mambo ya electronics, hapo atakua fundi simu, computer, ufundi wa Printers, nk. Hizi nyanja mafundi ni wachache sana..

Ila huko kwingine asilimia kubwa ni kupoteza muda kama connection yake ni zero
Ahsante sana mkuu,nitajadiliana nae
 
Masomo yake kafaulu vipi? Tupe details za hapo kwanza ndipo tuendelee
 
Kiswahili-B
Math-D
Eng-D
Chem-C
Hist-D
Bio-C
Civ-B
Geo-D
Phy-F
Div 3 point 23.
Jinsia KE


Boss msaada apo wa kozi nzuri kwa ufauku huo.hasa idara ya afya
 
Kwa dunia na Tanzania ya sasa asome techincal isues hii hata nje ya ajira atasavaivu..
 
Anaweza kwenda chuo cha maji akasoma hii aimtupi msomaj hii n 100% akimaliza lazma apate ktu cha kufanya kwanzia viwandan migodin mpka mitaan achilia mbal idara za maji kwa ngaz zote kwanzia ruwasa mpka mamlaka ndogo ndogo bado anaweza soma plumbing au electrical issue machanics auto electrcal hata lia njaa baada ya miaka 2 monoclinic
 
Anaweza kwenda chuo cha maji akasoma hii aimtupi msomaj hii n 100% akimaliza lazma apate ktu cha kufanya kwanzia viwandan migodin mpka mitaan achilia mbal idara za maji kwa ngaz zote kwanzia ruwasa mpka mamlaka ndogo ndogo bado anaweza soma plumbing au electrical issue machanics auto electrcal hata lia njaa baada ya miaka 2 monoclinic
Boss asome nini apo chuo cha maji.hujaweka kozi ya kusoma apo,kuna water resources, kuna sijui hydrogeology, hydrology,n.k.

Ipi apo boss
 
Kwanza niwape pole wagonjwa waliopo humu,niwape pole mnaoguza na kuwapongeza wazima na pia polen kwa majukumu ya kila siku! Yote kwa Yote shukuran za pekee ni kwa Mungu(japo humu JF kuna wasioamini Mungu)

IPO hivi wakat namaliza shule miaka ya 2000 hivi nilikuwa na ndoto nyingi sana nikakomalia kusoma kitu ambacho hakikunisaidia sikuwa na mtu wa kunishauri nn nisomee,matokeo yake hadi nafikisha miaka 30+ sikuwa na mwelekeo wa maisha, nashukuru nilisimama na kujituma hatimae kiasi nimefanikiwa,sasa sipendi/sitaki huyu mdogo wangu apitie njia ngumu sana kama nilizopitia mimi,

Amemaliza form four mwaka jana na kupata division three, wakuu naomba msaada wenu ni kozi gani itamfaa, ni mtoto wa kiume,ananiuliza mara nyingi ni kozi ipi asomee nakosa jibu,yeye anataka sheria japo naona kama itamchelewesha sana.

Uwezo wa kumsomesha nashukuru Mungu ninao hivyo nawaomba sana mwenye wazo wa kozi gani anisaidie ili tumsaidie huyu dogo
Ahsanteni
Kwann unamsingizia mdogo wako?!!
 
Kiswahili-B
Math-D
Eng-D
Chem-C
Hist-D
Bio-C
Civ-B
Geo-D
Phy-F
Div 3 point 23.
Jinsia KE


Boss msaada apo wa kozi nzuri kwa ufauku huo.hasa idara ya afya
Physics ishaharibu mchongo mzima. Airudie Physics kwanza maana Nacte hawacheki siku hizi.
 
Back
Top Bottom