Kumbe ndo uoga wenu kuwa serikalini kuna wakristo wengi kuliko waislamu? Siyo serikali tu ni kwenye sector zote wakristo ndo wengi kuliko waislamu na sababu inajulikana kama wewe huijui basi na wewe inaonekana ni kati ya wale ambao wamesoma elimu ahera mkaisahau elimu dunia ambayo ndo kigezo cha...
kwi kwi kwi, yaani uliyecomment hapo juu umenichesha hadi basi. But you made my day. lol. Yaani km ni kuchemsha hawa bakwata hapo ni mvurugo. Kwani mkishajijua mko wengi then what next...... kama mnataka kujua mko wangapi nendeni kwenye magereza mkahesabu wafungwa ndo mtajua kama mko wengi au...
Kwa kweli kwa mtindo huu mimi naona ni bora kukatana mapanga kuliko kunyanyaswa hivi na ccm. Yaliyofanywa kwenye huu uchaguzi hayavumiliki ni bora kujitoa tu muhanga ili vizazi vijavyo visalimike kwani inasikitisha sana. Jamani watanzania tusikubali mwaka huu lazima haki ipatikane. period
Chuki tu ndo imetawala na udini, anywayz hawa wajinga wachache hawawezi kutukwamisha milele tutajipanga tu kwa 2015 tutaikomboa hii nchi pamoja na ujinga wao. shame on them
Umenifurahisha sana, its very true kwamba elimu duni ndo itafanya hayo majimbo yachukuliwe na ccm milele, ushahidi angalia watu wanaoishi jimbo la kawe na ubungo utapata jibu. Hivi kwa nini lakini hii mijiafrika inakuwa hivi? Unajua mzungu hata kama hajasoma ana upeo wa mbali si kama hizi ngozi...
You are very true mkuu PS ndo wanatakiwa waendeshe wizara kwa kipindi hiki, Ila hata mimi nimeshangazwa kusikia magembe eti kasema sera ya elimu bure ni ya ccm, what the heck!!!! wakati kila wanakopita wanasema sera hii ya chadema haitekelezeki, ni aibu na ni kutufanya wananchi hatuna akili...
Huyu mama ni mtoa rushwa mzuri kweli mimi akinipitia nachukua na kura pia simpi, vijana wa arusha kuleni hela zake lakini hukumu yake 31. Oct. Yaani nasikia ana mbinu nyingi sana za kutoa rushwa hata akienda car wash anagawa elfu kumi kumi kwa kila anayemkuta pale halafu akiondoka anawaambia...
Yaani sina hata cha kusema ndg zanguni, mimi nina miaka 37 lakini nikiwekwa naye mbona namwacha mbali sanaaaaa!!! lol, kwanza huo mtindi mbona kama ndala ana watoto wangapi wajameni? Inaonekana alidanganya miaka au ndo wale wenye bahati mbaya miaka midogo muonekano mkubwa!!! Bora sikulipa...
Mi nakumbuka mwaka jana niliona kwenye blog ya michuzi kigogo fulani wa ccm akifungua tawi la ccm huko UK. hata mimi ilinishtua kidogo lakini kwa vile namjua kuwa yeye ndio mweka hazina wa ccm nikajua ni hela zinamuwasha kwa hiyo sikushangaa sana. Kwa hiyo nahisi ni yeye aliyemwita huyo dada...
Huyu mjengwa wa kuurumia, tena nimegundua ni kibaraka wa CCM hana lolote, yaani watu kama hawa natamani niwameze maana naona kama hawaoni watu tunavyoteseka kwenye nchi yetu yenye raslimali kibao, timua huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.