PhD ni Doctor of Philosophy
Lakini PhD nyingine ni
"Permanent Head Demage" maana ukimwona yule wa cuf na wale walioteuana wa chama cha mbogamboga utakubali tuu
Nawaza kwa nguvu
Nimesoma comment nyingi, wengi hawakumwelewa mtoa post hivyo. Wengi wana mihemko na ushabiki. Kweli ukitumia jamii forum kama sample. Watazania wengi wanaweza kudanganyika wakati wote
Sio huyo. Huyu jamaa yuko mwanza ni mwalimu anaishi maeneo ya Mkuyuni na Butimba. Alikuwa Chadema akahamia NCCR, then ACT then CCM then anadai hana chama.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.