Recent content by mombury

  1. mombury

    Transfer Update

    Manchester United imekataliwa Pesa waliopeleka pauni Milioni 70 kwa ajili ya Kumnasa Mshambuliaji wa Real Madrid Alvaro Morata.
  2. mombury

    Wakili Jerome Msemwa ajitoa kesi ya Malinzi, Mwesigwa na Nsia

    Wakili Jerome Msemwa amejitoa kwenye kesi inayowakabili Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, TFF Malinzi na maofisa 2 wa Shirikisho hilo.... Unaweza Kupata Updates zaidi Twitter follow @lifeofdeo
  3. mombury

    Transfer Update

    Aliekuwa Mchezaji wa simba Pastory Athanas amekamilisha Uhamisho kwenda Singina United.
  4. mombury

    Transfer Update

    Mara baada ya kumwaga wino, Ibrahim Ajib Migomba amekabidhiwa jezi namba 10 iliyokuwa ikivaliwa na Matheo Simon Anthony.
  5. mombury

    Bungeni Dodoma: Spika Ndugai aunda kamati itakayofuatilia mfumo wa uchimbaji wa madini ya Almasi

    Spika Ndugai aunda kamati ya Wabunge 9 itakayoongozwa na Mussa Zungu kwa ajili ya kufuatilia mfumo wa Uchimbaji wa Madini ya Almasi...
  6. mombury

    Spika Ndugai aunda tume ya wajumbe 9 itakayochunguza suala la uchimbaji wa Madini ya Almasi

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameunda Kamati Maalumu ya wajunge tisa (wabunge) itakayochunguza suala la uchimbaji wa Madini ya Almasi hapa nchini ambayo itafanya kazi siku 30. Spika Ndugai ametoa orodha ya Wabunge hao leo bungeni mjini Dodoma wakati wa...
  7. mombury

    Transfer Update

    Mpaka Kufikia mwishoni mwa wiki hii klabu ya soka ya Everton inategemea itakwisha Kamilisha usijili wa mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney Waza.
  8. mombury

    Chelsea kumsajili kitasa kutoka Roma, Antonio Rudiger kwa Ada ya Pauni milioni 34

    Chelsea wako katika hatua za mwisho za Kimsajili kitasa kutoka Roma Antonio Rudiger kwa Ada ya Pauni Million 34. Sababu moja wapo kubwa ya beki huyo wa kijerumani ni kwamba amepatwa na majanga ya ubaguzi wa rangi nchini Italia mara kadhaa.
  9. mombury

    Transfer Update

    Lionel Messi has signed a new contract at Barcelona, keeping him at the club until 2021. His release clause is €300m.
  10. mombury

    Football.

    Alexandre Lacazette keshamaliza Vipomo Pale Arsenal uhamiso wa Ada £44 million.
  11. mombury

    Tecno c8 update

    Nimedownload Lakini wapi Linagoma Pale kwenye androi inaandika No Command
  12. mombury

    Updates

    Inawezekana Ku Update Tecno C8 kwenda Marshmallow na HiOS??
  13. mombury

    Nipo Tayari Kufanya Volunteer Kazi ya Shipping , Exports, Imports na logistics

    Sio kila Mtu anacheti dada...... kama Unaweza Saidia Mtu unasaidia sio Unacrush tu.
Back
Top Bottom