Hilo unalo lisema nikweli mkuu, simu imekuwa ina tumia chaj fasta sana.Kuna tofauti ya stand by ya chaji niliyoiona baada ya kuupdate. Kabla simu ilikuwa na uwezo wa kukaa siku tatu ila baada ya kuiupdate kukaa saa 24 imekuwa shida. Je ninawezaje kuondoa update zake nibaki kwenye ile vision ya zamani
mkuu naomba msaada, nataka ku- update lg g2 kutoka kitkat 4.4.2 hadi lollipop au marshmallowHilo unalo lisema nikweli mkuu, simu imekuwa ina tumia chaj fasta sana.
Kutatua hilo tatizo ni hadi ku flash kwa Rom ya lollipop ya C8. Na TCRA nimeshangaa wanasema ku flash simu ni kosa la Jinai.
Nilianzisha hii thread kwa tecno c8 kwakuwa ndio ambayo ninauelewa.mkuu naomba msaada, nataka ku- update lg g2 kutoka kitkat 4.4.2 hadi lollipop au marshmallow