Spika Ndugai aunda kamati ya Wabunge 9 itakayoongozwa na Mussa Zungu kwa ajili ya kufuatilia mfumo wa Uchimbaji wa Madini ya Almasi...
Kamati ya ndiwoooo ndani ya ndiyooooSpika Ndugai aunda kamati ya Wabunge 9 itakayoongozwa na Mussa Zungu kwa ajili ya kufuatilia mfumo wa Uchimbaji wa Madini ya Almasi...
Njoo nikupe Ubunge wa "Kiti maalum" nyumbani kwangu. Nitakulipa marupurupu yote na ya ziada.Hizo kamati bila shaka wanalipwa!
Aisee natamani na mie niwe mbunge halafu nipangwe kwenye hizo kamati
Upinzani wamemuweka mbunge mmoja tu wa CUF, hii sio kamati ya bunge iliyokamilika
anza kwanza KUNI ASSIST inbox hapahapa JF hahahahNjoo nikupe Ubunge wa "Kiti maalum" nyumbani kwangu. Nitakulipa marupurupu yote na ya ziada.
Mmmmhhhh! Na huo Ubunge uliokuwa unautamani ni wa Inbox na mi assist madam!?anza kwanza KUNI ASSIST inbox hapahapa JF hahahah
Sala yako imepokelewa, hahahahahaah. AMIIINAAAAMmmmhhhh! Na huo Ubunge uliokuwa unautamani ni wa Inbox na mi assist madam!?
Toba yarabi Mola tunusuru na viumbe hawa kwa mioyo ya tamaa. Wajaalie Upendo na kujitolea mbele zetu bwana......Amen.
"Assist ...NikuAssist".anza kwanza KUNI ASSIST inbox hapahapa JF hahahah
Hahahahaha. Amen.Sala yako imepokelewa, hahahahahaah. AMIIINAAAA