Yuko mmoja wa redio moja ya kijamii alisema zaidi ya mara 3 jina la Naibu rais wa Kenya alietolewa kuwa ni William Gachagua badala ya Rigathi Gachagua. Wengi ni empty set
Halmashauri tayari ina watumishi, labda bajeti ya kuboresha miundombinu ndiyo itakayoongezeka, Pia lazima bajeti iongezeke. Kupandisha hadhi mji ni cheap kuliko kuanzisha eneo jipya kama mkoa
Habari wamajambi na TCRA
Nimefuta namba 4 zilizosajiliwa kwa NIN yangu zaidi ya miezi 6 iliyopita ila ajabu ni kwamba bado hizo namba zipo kwenye orodha ya namba zangu nikiangalia kwenye orodha ya namba zilizosajiliwa kwa mitandao yote.
Pia nikiangalia kwa Mobile money (M pesa/tigo pesa) namba...
Umenena vyema. Ndoa sio matarumbeta wala vyeti, ndoa ni commitment. Ndio maana kwa mujibu wa sheria "Ndoa ni muunganiko wa hiyari kati ya mwanaume na mwanamke wenye lengo la kuishi kama mume na mke". Msingi wa ndoa ni makubaliano ya hiyari sio vyeti. Dada atulie alee mimba na familia yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.