Recent content by Molaro

  1. Molaro

    Michael Noel wa RFA acha kupotosha, SGR sio Stiglers Gorge

    Yuko mmoja wa redio moja ya kijamii alisema zaidi ya mara 3 jina la Naibu rais wa Kenya alietolewa kuwa ni William Gachagua badala ya Rigathi Gachagua. Wengi ni empty set
  2. Molaro

    Joshua na Clemence hii ni kwa ajili yenu. Sasa mlale kwa amani zaidi

    Sema wewe ni mpumbavu, kwa hiyo ile baskeli ya Joshua ndiyo iliyokuwa bunduki au roketi? Ficha upumbavu wako
  3. Molaro

    Mchengerwa: Rais ameridhia kuipandisha hadhi Rufiji kuwa Halmashauri ya Mji. Soko kubwa na Stendi kuanza kujengwa

    Halmashauri tayari ina watumishi, labda bajeti ya kuboresha miundombinu ndiyo itakayoongezeka, Pia lazima bajeti iongezeke. Kupandisha hadhi mji ni cheap kuliko kuanzisha eneo jipya kama mkoa
  4. Molaro

    Egypt imepinga vikali makubaliano ya usimamizi wa Mto Nile

    Tunatengeneza Artificial rivers na schemes za umwagiliaji nchi nzima
  5. Molaro

    Serikali ishushe hadhi Jiji la Tanga kwa vile haina mpango wa kufanya lolote kusapoti mji huo

    Arusha iliteseka enzi za Mwendazake. Iacheni ipumue kwa sasa
  6. Molaro

    Mama Maria Nyerere anatimiza miaka 93 leo. Karibuni tumtakie matashi mema

    Kama ni miaka 93 basi kazaliwa mwaka 1929 n a sio 1939. Happy birthday Mama wa Taifa
  7. Molaro

    Wilaya zilizopo mipakani nchini kwetu zina maskini wengi ila zinajipambania

    Maajabu!!!Moshi na Songea ni wilaya zenye wilaya ndani yake[emoji119][emoji119]
  8. Molaro

    Share your current internet Speed

    Duuh, bhasi siku hizi wako vizuri sana
  9. Molaro

    Share your current internet Speed

    Hapa upo mji gani?
  10. Molaro

    TCRA Ondoeni kwenye orodha namba tunazofuta

    Habari wamajambi na TCRA Nimefuta namba 4 zilizosajiliwa kwa NIN yangu zaidi ya miezi 6 iliyopita ila ajabu ni kwamba bado hizo namba zipo kwenye orodha ya namba zangu nikiangalia kwenye orodha ya namba zilizosajiliwa kwa mitandao yote. Pia nikiangalia kwa Mobile money (M pesa/tigo pesa) namba...
  11. Molaro

    Tozo Tsh. bil. 117, Vituo vya afya 234

    Kituo cha Afya Mkonoo Arusha Jiji kimejengwa mwaka 1989, labda kimeongezewa jengo.
  12. Molaro

    Amenichumbia lakini hataki Ndoa

    Ndo za kimila watu wanapewa vyeti vya ndoa?
  13. Molaro

    Amenichumbia lakini hataki Ndoa

    Umenena vyema. Ndoa sio matarumbeta wala vyeti, ndoa ni commitment. Ndio maana kwa mujibu wa sheria "Ndoa ni muunganiko wa hiyari kati ya mwanaume na mwanamke wenye lengo la kuishi kama mume na mke". Msingi wa ndoa ni makubaliano ya hiyari sio vyeti. Dada atulie alee mimba na familia yake...
  14. Molaro

    Amenichumbia lakini hataki Ndoa

    Aondoke na ujauzito wa jamaa sio?
Back
Top Bottom