wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,225
- 37,581
M7 aliwekwa madarakani na vita alioianzisha mwenyewe. Na kati ya wapiganaji 27 alioanza nao walikuemo wanyarwanda wengi sana hadi waliposhinda vita. Wanyarwanda walikua wanaongoza kuanzia platuni hadi divijonzi, wakati mseveni akitumia muda mwingi Sweden. Ukumbuke cabinet yake ya kwanza naibu waziri wa ulinzi alikua mnyarwanda pure.
Huku mnyarwandwa Major General Rwigyema akiwa kaimu waziri wa ulinzi wa Uganda ndiye aliyeongoza vita ya kuikamata Uganda wkt huo M7 akiwa Sweden na familia yake,huku Kagame akawa Chief of military Intelligence (CMI).