Mama Maria Nyerere anatimiza miaka 93 leo. Karibuni tumtakie matashi mema

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,765
21,239
Tarehe 31.12.1929 alizaliwa mke wa Rais wa kwanza wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Kwa lugha ya kibantu tunasema 'sabukuu' ya Mama Maria Nyerere.

Wasomi wa lugha na mnaofahamu kizungu kuliko kiswahili neno sabukuu kwa kiswahili ni mazazi kizungu ni "birthday".

IMG_20221231_110728.jpg


Mama yetu leo anatimiza umri wa miaka 93, kwa pamoja mzazi huyu aliyemtunza Baba wa taifa letu tumtakue heri na afya tele huku Mwenyaazi Mungu azidi kumruzuku uhai zaidi.
 
Tarehe 31.12.1939 alizaliwa mke wa Rais wa kwanza wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Kwa lugha ya kibantu tunasema 'sabukuu' ya Mama Maria Nyerere.

Wasomi wa lugha na mnaofahamu kizungu kuliko kiswahili neno sabukuu kwa kiswahili ni mazazi kizungu ni "birthday".

View attachment 2464195

Mama yetu leo anatimiza umri wa miaka 93, kwa pamoja mzazi huyu aliyemtunza Baba wa taifa letu tumtakue heri na afya tele huku Mwenyaazi Mungu azidi kumruzuku uhai zaidi.
Kama ni miaka 93 basi kazaliwa mwaka 1929 n a sio 1939.
Happy birthday Mama wa Taifa
 
Kwa kweli wanawake hawafi mapema yaani mama ake Pele bado yuko hai pia.
Wanawake wao huwa wanafanya kazi nzito sana kwenye umri ule ambo wanakuwa wanazaa watoto, halafu baada ya hapo wakishakoma kuzaa, wanapumzika na kubaki na kazi hizi za kawaida tu.
Tofauti na wanawake, wanaume wao huwa hawapumziki muda wote. Unakuta mtu ana miaka 80+ bado ana tamaa na anataka kuoa vitoto vya miaka 25+, kitu ambacho ni upumbavu. Hapa sasa lazima kuwa na trade-off kati ya huu upumbavu na umri wa kuishi
Hata hivyo sisemi kwamba Hayati Pele alifanya hivyo, ni mfano tu
 
Wanawake wao huwa wanafanya kazi nzito sana kwenye umri ule ambo wanakuwa wanazaa watoto, halafu baada ya hapo wakishakoma kuzaa, wanapumzika na kubaki na kazi hizi za kawaida tu.
Tofauti na wanawake, wanaume wao huwa hawapumziki muda wote. Unakuta mtu ana miaka 80+ bado ana tamaa na anataka kuoa vitoto vya miaka 25+, kitu ambacho ni upumbavu. Hapa sasa lazima kuwa na trade-off kati ya huu upumbavu na umri wa kuishi
Hata hivyo sisemi kwamba Hayati Pele alifanya hivyo, ni mfano tu
Hii ni kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom