Maisha haya achane tu, vitu vinabadilika sana. kuna mwana alikuwa very fun full usela, huwezi ukakaa nae dk. mbili hujacheka. sasa hv mwana kaokoka hana tena yale makeke yan huwezi ata kumchukua ukaenda nae sehemu za starehe kunywa n kuhave fun yeye n mwendo w soda labda n juice akibadilisha...
Mnaonaje tukiandaman jmn! wanachama wote n mashabiki tuungane kumkataa Manara, hatumtaki.. Yani mnamtoa mtu anayejua mpira n kanuni zake mnamleta huyo lopolopo
Kwa mpira gan wanaocheza hao kaskazini, m sijaona. wanachojua ni vurugu tu n fujo hlf CAF ipo tu inawaangalia na haina cha kuwafanya. we angalia ata mechi zao zinavyopangwa na kuchezeshwa
Mkuu ukielewa dhambi ya kwanza dunian ililetwa na nani wala hutapata shida.. Inshort hao ndo wahanga wakubwa wa kila kt kinachoendelea apa ulimwenguni. So wanaenda sehemu za ibada kwa wingi kujifariji au kutafuta huruma ya the so called God
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.