Recent content by moi alex

  1. moi alex

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Itafaa kama itapatikana bei halisi kwamim nipo tabata
  2. moi alex

    Kwanini nyie wanawake mnafunga pm zenu?

    Asante nimeelewa sasa
  3. moi alex

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Habari ndugu wa jf ivi hapa bongo nguruwe mdogo anauzwa bei gan
  4. moi alex

    Kwanini nyie wanawake mnafunga pm zenu?

    Bado sijajua pm nini
  5. moi alex

    Kwanini nyie wanawake mnafunga pm zenu?

    Pm ndo nin jamn niko njia panda now
  6. moi alex

    Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

    Tatizo enzi na muda ni ukuta
  7. moi alex

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    pawatila bei gani kiongozi?
  8. moi alex

    Rais Magufuli: Askari wa Usalama Barabarani aliyetukanwa na Mke wa Waziri apandishwe cheo

    ameambiwe asifanye fujo yeye anafanya maana anakidi bas yeye ni jipu sisi hatuna jinsi atatumbuliwa tu ee maana hatuna namna
  9. moi alex

    Basi lililozama baharini Kigamboni laopolewa huku likiwa limeibiwa baadhi ya vifaa...

    sawa maji yalikuwa na pressure ya kutoa kioo na engine jee nayenyewe ni pressure ya maji????????
  10. moi alex

    Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

    sasa apa tunatamanisha tu maana mii nashika mpunga mwing afu sio wangu afu kiganja changu kina M inakalibiana na N aya bwana kila mtu na riziki yake
  11. moi alex

    Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

    kila shetwan na mbuyu wake
Back
Top Bottom