Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Tatizo nin shemejTatizo sio utamu shemeji.
Tatizo nin shemejTatizo sio utamu shemeji.
Tatizo moyo.Tatizo nin shemej
Endeleni kutoa vimacho kama kunguNisaidie kushangaa mama.
husna atakuja kujionea
Kwani moyo wako bado unasukuma watu shemeji sio damu?Tatizo moyo.
Tena jipu la kudumu, haliivi wala halitumbuki, linauma tuuu.



inabid uwe na moyo wa chuma kama wa husna kuwa naloKwani moyo wako bado unasukuma watu shemeji sio damu?
Shemeji mimi nitayazika yangu na yako ya nyuma yote.
Haswaaaaa!! Bila ya hivyo utazikwa siku si zako.inabid uwe na moyo wa chuma kama wa husna kuwa nalo
Tehteh haya buana ila ota yote haya.![]()
![]()
![]()
Chizi wewe!! Hebu kalale huko.
Usiku mwema.
Wewe....wewe....endelea tuinabid uwe na moyo wa chuma kama wa husna kuwa nalo
sasa we unadhania PM ndio avatar hii nitamuonesha??na avatar hiyo sijui wanaanzaje kukupiga mizinga waache kumpiga Daby na avatar yake


Kule ni real picture of mimi bhana
nitumie na mm ili nione nikupige kizingasasa we unadhania PM ndio avatar hii nitamuonesha??Kule ni real picture of mimi bhana
Umeshanitonesha sasa kile kidonda changu ulivyotaja neno kizinga..nitumie na mm ili nione nikupige kizinga
Oooh kumbe!!! Lini sasa tunatumiana?
Mie hata sijui ni nani huyo mmakonde.

Ni private messageBado sijajua pm nini
UnAjidanganyaHuku mbali hafiki