Uko sahihi kiongozi. Bergkamp pamoja na ufundi wake alikuwa anaogopa kupanda ndege.Mkuu flying dutchman alikua ni Mack Overmass, kama niko sahihi
Hivi Nwanko hakuwepo kikosini kweli?Yap aron winter pale pembeni Michael reizger Winston bogade jamaa alikuwa anapiga kazi huku anatabasamu
Yaah alikuwapo pia kiki musampa edger Davis seedorf na Danny blind walikuwapo.Hivi Nwanko hakuwepo kikosini kweli?
Siku nyingine anza na neno KingCantona
Lile lilikua kiboko mno kwenye world cup, lakini goli langu bora ni lile alilowapiga New Castle kwenye eplUko sahihi kiongozi. Bergkamp pamoja na ufundi wake alikuwa anaogopa kupanda ndege.
Ila lile bao lake dhidi ya Argentina kwenye World Cup ya mwaka 1998 pale Ufaransa limebaki kwenye historia ya magoli bora kuwahi kufungwa kwenye WC.
Commentator anakwambia, " Three touches, Control, Turn and Finish " alimwacha Beki Roberto Ayala akishindwa kugeuka.
Danny Blind wamemtimua kazi janaYaah alikuwapo pia kiki musampa edger Davis seedorf na Danny blind walikuwapo.
Lilikuwa goli maridadi. Pia tafuta goli dhidi ya Leicester.Lile lilikua kiboko mno kwenye world cup, lakini goli langu bora ni lile alilowapiga New Castle kwenye epl
Tatizo enzi na muda ni ukutaDavis mwape,
mwaikimba
Hussein Marsha, Athuman China,?Mohamed Mwameja, Malota Soma, Madaraka Suleiman,Zamoyon Mogella, Twaha Hamidu, George Masatu, Kasongo Athuman n. K
Ricardo Kaká huyu namwangalia anachipukia hadi anakuja kuvuruga kutransfer to madrid
akiwa mdogo kaka anamanage kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu akiwa na nguli wenye umri mkubwa kama carlos, maldin, Cafu, Crespo, Schevichenko, Nedved, na wengineo vijana wa siku hizi hichi kitu kinawashinda
Mchezaji wangu Bora wa muda wote Ricardo Kaka
El phenomenon. Ronaldo orijino alipiga goli 47 katka mechi 48 akiwa na Barca msimu mmoja tu.
Umenena mkuu, lakini Davo suker aliwahi kuingia kwenye shortlist ya Fifa player of the year mwaka 2000 nafikiri.Mkuu huyo davo suker alipata tu kiki ile world cup na kuwa top scorrer yani ni kama man fongo na haina ushemeji.
Apart from ile world cup ya 2002 kama sikosei sidhani kama alisikika tena. Huyu ni kama James Rodriguez alivyopata ngekewa world cup 2014 but sa hivi kapotea pale madrid