nakumbuka rafiki yangu alitumia nusu saa nzima akijaribu kusolve tarehe kwa kule kudhahani kuwa ni swali, mwisho akumuuliza msimamizi mbona swali hili halina sawa sawa? akajibiwa tarehe hiyo.
DR Slaa, watesi wajapojipanga kupambana nawe My presdaa, Watapambana na mkono wa Mungu kwani uhai wako umefichwa mbali na Mungu muumba mbingu na nchi. piga kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.