Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 547
- 183
Ndugu wana jf na watanzania kwa ujumla..tuliona chama cha wananchi CUF kiliasisi opereshen yake na kuipa jina la mchakamchaka hadi 2015, lakini sasa hivi haijulikani ilipofia.je ndio wameshafeli au? Mwenye maelezo yoyote ebu ayamwage hapa.