ninachojua nikwamba serikali ya TANZANIA haina Dini, hivyo ndivyo ninavyo fahamu na kuna ayo maswali ya hivi kwa baadhi ya watu na sababu kuu ambayo inapelekea watu kujiuliza hivyo ni kwasababu watu wa nchi hii asilimia kubwa tuna DINI hivyo kama ni asilimia kubwa means kwenye hiyo asilimia kuna...
Habari kwa wakuu wote wana jamii,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, nimepata mtaji na nimewaza kuanzisha biashara na katika kuwaza biashara nimeona kuwa biashara ya usafirishaji ndiyo biashara ambayo itanilipa vizuri. Hivyo nataka kununua gari ili nianze taxi mtandao.
Kwa wenye uzoefu...
Malume uko sahii upande wa mustakabali wa kipato lkn kwa mtazamo wangu mimi mwalimu mlipe utakavyo mlipa lkn bado thamani yake haina mfano ni kama mzazi vile Huwezi kumlipa isipokuwa serikali inatakiwa kuwa tengenezea mazingila ya kujimudu katika maisha yao ya kila siku kama wanajeshi na kazalila.
Duuuh.. Okay binafsi nafikili ilo tatizo hutokana na vitu viwili moja tabia, wapo watu hiyo ni tabia yao yani hata nikikuliza swali apo kuwa iyo hali ilikuwepo hapo nyuma kama itakuwa katika upande huu wa tabia nadhani jibu utalipata and jambo la pili ni upendo, mahusiano ya kimapenzi ni kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.