Mohamed rubawa
Member
- Oct 7, 2022
- 13
- 10
Habari kwa wakuu wote wana jamii,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, nimepata mtaji na nimewaza kuanzisha biashara na katika kuwaza biashara nimeona kuwa biashara ya usafirishaji ndiyo biashara ambayo itanilipa vizuri. Hivyo nataka kununua gari ili nianze taxi mtandao.
Kwa wenye uzoefu naombeni ushauri kuhusu biashara hii tafadhali.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, nimepata mtaji na nimewaza kuanzisha biashara na katika kuwaza biashara nimeona kuwa biashara ya usafirishaji ndiyo biashara ambayo itanilipa vizuri. Hivyo nataka kununua gari ili nianze taxi mtandao.
Kwa wenye uzoefu naombeni ushauri kuhusu biashara hii tafadhali.