BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,040
- 10,460
Tupeane tips wakuu, jinsi ya kuingia 2023 kwa focus zaidi katika kutengeneza pesa kupitia ujuzi (skills) ambao hauhitaji uwe na degree wala masters.
1- Ukipika chakula kizuri na ukazingatia usafi, hautolala njaa.Tupeane Tips wakuu jinsi ya kuingia 2023 Kwa focus zaidi katika kutengeneza pesa kupitia ujuzi(skills) ambazo hazihitaji uwe na degree wala masters.
Imekaa poa but key point ni UAMINIFU1- Ukipika chakula kizuri na ukazingatia usafi, hautolala njaa.
2- Ukiwa fundi mzuri wa magari makubwa au madogo na ukatangiliza uaminifu, hautolala njaa...
Sharing is caring.Tafuta masoko kupitia mitandao alibaba .! siwezi kukumalizia hapa madini
Udalali 📌Skillas: Udalali.
Biashara: Smart Watch
Safi niongezee tu ukiwa kinyozi mzuri ukapata kona nzuri unapiga mawe1- Ukipika chakula kizuri na ukazingatia usafi, hautolala njaa.
2- Ukiwa fundi mzuri wa magari makubwa au madogo na ukatangiliza uaminifu, hautolala njaa.
3- Ukiwa fundi mzuri wa kuchomelea vyuma na ukiwa muaminifu, hautolala njaa.
4- Ukiwa fundi ujenzi mzuri na ukawa muaminifu, hautolala njaa.
5- Ukiwa dereva wa bajaji/bodaboda na ukawa muaminifu, hautolala njaa.
Zaidi nasisitiza vijana kuweka aibu kando na wasiwe wavivu huu mwaka 2023 wasisubiri kazi za degree zao.
Hayo ni kwauchache, naomba kuwasilisha...🙏
Mafundi wengi wanakosa pesa sababu ya kukosa uaminifuImekaa poa but key point ni UAMINIFU
Zamani nilikuwa naona kuwa mpigaji ndio ujanja nikapiga pesa za watu kumbe ndio nilikuwa najiharibia Sasa nikiokota hata hela nikamjua aliyeidondosha nampelekeaUkiwa mwaminifu na bidii katika lolote unalofanya hutalala njaa
Nimekukubali sana, hongera kwa kulitambua hilo naamini sasa utakuwa mwalimu mzuri kwa wengne ambao wanaamini upigaji ndo ujanja, kiufupi upigaji sio ujanja ila ni maandalizi ya kuifanya kesho yako kuwa ngumu zaidi ya leoZamani nilikuwa naona kuwa mpigaji ndio ujanja nikapiga pesa za watu kumbe ndio nilikuwa najiharibia Sasa nikiokota hata hela nikamjua aliyeidondosha nampelekea
Kweli kabisa naungana na wewe uaminifu ni mtaji.Nimekukubali sana, hongera kwa kulitambua hilo naamini sasa utakuwa mwalimu mzuri kwa wengne ambao wanaamini upigaji ndo ujanja, kiufupi upigaji sio ujanja ila ni maandalizi ya kuifanya kesho yako kuwa ngumu zaidi ya leo
Upigaji sio diliZamani nilikuwa naona kuwa mpigaji ndio ujanja nikapiga pesa za watu kumbe ndio nilikuwa najiharibia Sasa nikiokota hata hela nikamjua aliyeidondosha nampelekea
Nyanya gharama mkuu na usawa huu, hasa kwa mtu unaeanzaKilimo.
Kulima haswa nyanya