Recent content by mohamed kapufi

  1. M

    Chadema,kukosa maji na mtoto

    Chama Cha Democracia na maendeleo huenda kisifike ktk hali nzuri ya kisiasa mwaka 2015,hii inatokana na hali halis ya mgogoro uli ofichika k wa muda kati ya Zitto na Mbowe sasa umeanza kuonekana waz machon mwa watanzania kupitia vyombo vya habar 'tanzania daima' jana limethbitisha hili...
  2. M

    Nape ajibu makombora ya Marando

    kwa sababu CCM haijamkosoa Nape na ni mtu tunaemuamin kwa yote ayasemayo na kujibu hoja zenu,siku zote hoja za hovyo hujibiwa hovyo,hvyo hata Chadema hamna hoja za msing
  3. M

    Nape na madai ya uchagga ndani ya CHADEMA

    jeykey,acha kujivisha uhusika usio kufaa,angalia michango yako mara jenga chama chenu,mara jenga chama chetu,sasa w w uko wapi? Nape alikuwa na kila sababu ya kusema cdm ni chama cha kichaga kwan uongo? Watanzania weng wanajua hivyo toka mlipomzuia Zitto kugombea uenyekiti kwa sababu...
  4. M

    Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

    <br /> <br />
  5. M

    Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

    kama kumpinga Dkt Slaa ni kumpinga Mungu na unaweza ukafa ukimpinga slaa,NASEMA KAMA SLAA NDIYO MUNGU MM NAMPINGA,NA NIKO TAYARI KUFA KWA AJILI YA KUMPINGA SLAA,achen mawazo ya kitoto,CCM haiwezi kufa kwa kifo cha Shekhe Yahaya,kwani maisha ya Shekhe Yahaya haikuwa Vision ya CCM.
  6. M

    TBC ifutwe, ni ufisadi mtupu

    sasa unauhakika gan kama reporter alichukua matukio yote ambayo ww ungependa yaonyeshwe? Hali ya usalama nyamungo inatisha,hauwez kuwa huru ktk kufanya kitu chochote kwa ajili ya kuhofia usalama wako,ni vizuri mambo kama haya ukachangia kama una waled wa kutosha ktk jambo husika.
  7. M

    TBC ifutwe, ni ufisadi mtupu

    <br /> <br />
  8. M

    GE2010 Kikwete Nchi imeshamshinda, ni Maajabu gani mnataka Mungu awaonyeshe kuwa Nchi Imeshamshinda?

    unaposema kikwete nchi imemshinda,unakuwa umeangalia vigezo gan?,siasa,uchumi au kijamii,licha ya kuangalia ktk vigezo hvyo vitatu inatakiwa uchambue kimoja baada ya kingne tena ukiwa na data zilizo kamilika,sasa ukiibuka tu kama umetoka kulala vile watu wenye akili zetu nzima tunakushangaa tu...
  9. M

    Nape ajibu makombora ya Marando

    nadhan hii ndo ilikuwa hoja ya kwanza ambayo imewapa nafas wana Cdm kutoa na kuonyesha uwezo wenu wa fikra finyu ambazo kwa ujumla zimejikita kumdharirisha Nape,kama mngekuwa na uelewa nadhan mngezungumzia kazi yake kama katibu wa itikad na ueneze,insuch nazid kuamin kuwa uelewa wa siasa kwa...
  10. M

    Nape ajibu makombora ya Marando

    <br /> <br />
  11. M

    CHADEMA yachukua uongozi udom

    Bado sio msaada kwa watanzania wasiojua kesho yao,matangazo kama haya mngekuwa mnayaweka kwenye Facebook mkutane na watoto wenzenu wenye elemu ya kiasi,ambayo inasadifu uelewa finyu wa kikundi kama CHADEMA,Itawasaidia sana,let we rethnk jamiiforum as the Home of great thnkers.
  12. M

    Dr. John Pombe Magufuli Tena

    Dr Magufuri nakumbuka ktk dakika zako 45 uligusia utengenezwaji wa barabara ya Lami kutokea manyon had kigoma kupitia Tabora,ikiwezekana ubabe wako wote hebu uuelekeze huko,kwan utabarikiwa na Mungu kupitia shukuran za wana Tabora na Kigoma,hata chama utakisaidia sana kupunguza matusi ya wapinzani.
Back
Top Bottom