kama kumpinga Dkt Slaa ni kumpinga Mungu na unaweza ukafa ukimpinga slaa,NASEMA KAMA SLAA NDIYO MUNGU MM NAMPINGA,NA NIKO TAYARI KUFA KWA AJILI YA KUMPINGA SLAA,achen mawazo ya kitoto,CCM haiwezi kufa kwa kifo cha Shekhe Yahaya,kwani maisha ya Shekhe Yahaya haikuwa Vision ya CCM.