Mtoa maada nahisi unaumia sana maana yale Nape aliyowashauri kuhusu koroshow yametimia,sasa mnahaha kuona ameshinda kabla mechi haijaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Charles Moremi nimejikuta nacheka kwa sauti,lakini siyo vibaya maana kwa mbinu hiyo unaweza kutunukiwa kitu kingine,Lakn naamini hata wewe huutaki ubunge toka ndani ya moyo wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uendawazimu kukaa na watoto wa watu ,mm siwezi kuishi kwa mashaka kama ni kujua nijue mtoto siyo wangu alafu niishinaye lakni najua ukweli cyo wangu siyo kujipa hope kumbe nalea watoto wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimegundua Lisu anawanyima sana usingizi upande wa pili,sioni sababu ya kutoa mapovu kiasi hicho,hatutaki misaada ya mabeberu anachokifanya lisu anawasaidia kufikisha taarifa physically kama mtanzania kuwa hatutaki misaada na kweli hatuitaki inalemaza sasa mbona mnamlaumu tena! Mimi nasema lisu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.