Recent content by moghaka wane

  1. moghaka wane

    Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

    Uko sawa ni ubinafsi tu.
  2. moghaka wane

    Nape: Sababu za kuondolewa kwangu kwenye uwaziri bado ni siri, na haziwezi kusemwa

    Mbaya zaidi nilifikiri kamati ya Nape ingeweza kutoa maamuzi dhidi ya makonda, kumbe tena inapeleka taarifa kwa Rais ambae tayari alishasema hapangiwi na mtu. Nape alivuna alichopanda.
  3. moghaka wane

    Nape: Sababu za kuondolewa kwangu kwenye uwaziri bado ni siri, na haziwezi kusemwa

    Sababu za kuondolewa kwake hats yeye anazijua, ni kubishana na mteuzi wake yeye anasema Makonda chapa Kazi Nape anamuundia makonda kamati. Hapo unatafuta mchawi?
  4. moghaka wane

    Ukweli wa Sabato umefichwa na Pasaka, Jumamosi sio Sabato

    Siku ya sabato maana take ni siku ya saba KWA hiyo hailazimishi LAZIMA iwe jumamosi, maana wakati mungu anaumba mbingu na nchi hapakuwa na jumamosi wala jumapili wala ijumaa, siku zimekuja baada dunia kuumbwa haya mengine ni ushabiki tu. Na pasaka kwa wakristo ni siku aliyofufuka yesu kila na...
  5. moghaka wane

    Yaliyojiri bungeni: Serikali kupitia TISS inahusika na utekaji sio kwa CCM wala upinzani

    Wakina ziro wapo wengi si mm tu lkn kumbuka hii si Kazi inakulisha kuwa utalala na njaa, kama huna cha kuandika si unaacha? Nani katulazimisha kusoma Habari zangu? Mm Niko mitaani nasaka riziki hii ndio shida ya nywele ngumu hatujitambui kuwa huu ni wakati gani na tufanye nini, ndio maana...
  6. moghaka wane

    Yaliyojiri bungeni: Serikali kupitia TISS inahusika na utekaji sio kwa CCM wala upinzani

    Sina taaluma ya kuandika majina ya nchi, kinachotakiwa ujumbe umefika kama haukuhusu weka pembeni waweza kuwa wewe uko kisiasa zaidi au mmoja WA watekaji.to a mawazo yako si usubiri mwenzako aumize kichwa halafu wewe unarukia.
  7. moghaka wane

    Yaliyojiri bungeni: Serikali kupitia TISS inahusika na utekaji sio kwa CCM wala upinzani

    Mimi sijasomea kuandika majina ya nchi na mawazo ya si LAZIMA uwe msomi WA chuo, pengine hata umetumwa, ndio maana hats jina huweki ndio wale watekaji.
  8. moghaka wane

    Yaliyojiri bungeni: Serikali kupitia TISS inahusika na utekaji sio kwa CCM wala upinzani

    Sio wenye mawazo kama wewe, unaposema ni makosa wenzako wanaona sawa.
  9. moghaka wane

    Yaliyojiri bungeni: Serikali kupitia TISS inahusika na utekaji sio kwa CCM wala upinzani

    Ni kweli ila tumwogope hats mungu, utekaji unaousema si WA sisi walala hoi hao wana sababu zao wala hawanyang'anyi MTU pesa baadae MTU anaonekana hiyo tu inasababisha nchi nzima kukosa amani? Je wakiingia alshababu humu utasemaje?. Tupambane na wale wanaotubia Mali zetu za nchi tunakosa...
  10. moghaka wane

    Yaliyojiri bungeni: Serikali kupitia TISS inahusika na utekaji sio kwa CCM wala upinzani

    Kama unataka kuamini tz ni nchi ya amani, nenda Congo, bulundi, Kenya, somaria, Sudan. Nk, hebu tuongelee uchumi amani. Tz mtu anatembea na pesa nyingi tena wazi bila wasiwasi KWA wenzetu weee!
  11. moghaka wane

    Yaliyojiri bungeni: Serikali kupitia TISS inahusika na utekaji sio kwa CCM wala upinzani

    Ee Mimi siyawezi kila MTU serikali hivi serikari ni nani? Kiongozi yeyote bila kupewa ushirikiano atajuaje?
  12. moghaka wane

    Roma itisha press conference yako, hii ilikuwa ya waziri

    Ndugu zangu msilalie sehemu moja labda na yeye alikuwa na vitu ambavyo si halali, kwani kusema ukweli mpaka mkutano au wandishi? Si atuelezea hata kwenye mitandao?
  13. moghaka wane

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Watu mnajifariji sana huu ni mwaka WA Chelsea acheni maneno weka mziki.
  14. moghaka wane

    Diamond kamuomba Gwajima yaishe

    We basi ndo hivyo tena Mimi unaeneza neno la mungu kumbe hata ya shetani yamo.
Back
Top Bottom