Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Hao ni walinzi au mabaunsa...hapo wote waoga na wakikutana na wavaa suti wa Magu ndio utajua nani mlinzi na nani baunsaSasa naanza kumuelewa gwajima kwa ulinzi huu
Yaani hapa hatekwi mtu
Hao ni walinzi au mabaunsa...hapo wote waoga na wakikutana na wavaa suti wa Magu ndio utajua nani mlinzi na nani baunsaSasa naanza kumuelewa gwajima kwa ulinzi huu
Yaani hapa hatekwi mtu
Uandish wako unatosha kujibu unaakili kiasi gani? Hakuna nchi inayoitwa BULUNDI wala SOMARIA sasa wewe wa hivi tutaongeleaje uchumi???Kama unataka kuamini tz ni nchi ya amani, nenda Congo, bulundi, Kenya, somaria, Sudan. Nk, hebu tuongelee uchumi amani. Tz mtu anatembea na pesa nyingi tena wazi bila wasiwasi KWA wenzetu weee!
Unataka kusema watakimbia kumzidi hamorapa?Hao ni walinzi au mabaunsa...hapo wote waoga na wakikutana na wavaa suti wa Magu ndio utajua nani mlinzi na nani baunsa
Sina taaluma ya kuandika majina ya nchi, kinachotakiwa ujumbe umefika kama haukuhusu weka pembeni waweza kuwa wewe uko kisiasa zaidi au mmoja WA watekaji.to a mawazo yako si usubiri mwenzako aumize kichwa halafu wewe unarukia.Uandish wako unatosha kujibu unaakili kiasi gani? Hakuna nchi inayoitwa BULUNDI wala SOMARIA sasa wewe wa hivi tutaongeleaje uchumi???
Wewe ni kiazi tu, hamna lolote unasadifu yaliyo kichwani mwako.Sina taaluma ya kuandika majina ya nchi, kinachotakiwa ujumbe umefika kama haukuhusu weka pembeni waweza kuwa wewe uko kisiasa zaidi au mmoja WA watekaji.to a mawazo yako si usubiri mwenzako aumize kichwa halafu wewe unarukia.
Ndiyo kuumiza kichwani hivyo???Sina taaluma ya kuandika majina ya nchi, kinachotakiwa ujumbe umefika kama haukuhusu weka pembeni waweza kuwa wewe uko kisiasa zaidi au mmoja WA watekaji.to a mawazo yako si usubiri mwenzako aumize kichwa halafu wewe unarukia.
Wakina ziro wapo wengi si mm tu lkn kumbuka hii si Kazi inakulisha kuwa utalala na njaa, kama huna cha kuandika si unaacha? Nani katulazimisha kusoma Habari zangu? Mm Niko mitaani nasaka riziki hii ndio shida ya nywele ngumu hatujitambui kuwa huu ni wakati gani na tufanye nini, ndio maana tulitaka kiongozi mkali kidogo maana mpole mlimbeza sasa kwa huyu nyie kwenye machafu kwenye mitandao mtaipata.Wewe ni kiazi tu, hamna lolote unasadifu yaliyo kichwani mwako.
Jipange mshamba wewe.
Mr maembeHope waziri wa Habari na MAgazeti atakuwepo
Tangu kutekwa kwa kibanda.... Hadi roma serikali imekiwa ikishutumiwa kuhusika.
Na hawa wabunge waloambiwa live na mkuu wa mkoa flan ambaye ni mtoto wa mfalme kuwa atashughulikiwa anaongeza ushahidi juu ya hili.
Kama serikali imefikia kuyafanya haya... Je sisi wadogo tunajifunza nn.
Kwa hali ilivyo mtu akisema akisema aunde kikundi cha revenge hakika atapata wafuasi wengi na hapo ndo mwanzo wa vikundi vya waasi